NYANZA: Familia, polisi, kanisa wamtenga askari aliyejiua kwa risasi mdomoni
>Polisi aliyejiua kwa kujipiga risasi mdomoni, Aloyce Mafuru (24), amezikwa katika makaburi ya Mugumu, Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara bila huduma za kidini na kijeshi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](https://lh4.googleusercontent.com/-PvuagEuutuI/VK1tt6ofKoI/AAAAAAAAIxc/tFKHC9T-XeQ/s72-c/blogger-image-473220883.jpg)
ASKARI WA JESHI LA POLISI AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI YA MDOMONI MKOANI MBEYA
![](https://lh4.googleusercontent.com/-PvuagEuutuI/VK1tt6ofKoI/AAAAAAAAIxc/tFKHC9T-XeQ/s640/blogger-image-473220883.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Aug
NYANZA: Ajipiga risasi, aacha ujumbe kwa baba mkwe
Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya Jitegemee ya Mwanza, Stephano Imbuhu (39), amejiua kwa kujipiga risasi kutokana na kile kinachodaiwa mgogoro katika ndoa.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Askari aliyemjeruhi raia kwa risasi akamatwa
Askari PC Joshua anayedaiwa kumpiga risasi tatu mguuni raia wa Kata ya Lang’ata Bora wilayani Mwanga na kumjeruhi vibaya kisha kutoroka, amekamatwa na jeshi hilo na kufikishwa Mahakama ya Kijeshi kwa taratibu za jeshi hilo.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Askari FFU Z’bar auawa kwa risasi
Askari wa Kikosi cha FFU, Mohamed Mjombo (Namba E 5607) ameuawa kwa kupigwa risas, huku mwingine akijeruhiwa baada ya majambazi kuvamia hoteli ya kitalii ya Pongwe Bay iliyo Pongwe mkoani Kusini Unguja.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Islaer-with-Palestina-2.jpg?width=650)
ASKARI WA ISRAEL AMUUA KWA RISASI MSICHANA WA KIPALESTINA
Askari wa Kipalestina akimuweka chini ya ulinzi msichana wa Kiislaer, Hadeel al-Hashlamon. Askari wenzake waki wakimzuia kufanya chochote kwa binti huyo. Hofu ikitanda kwa maaskari hao. Hadeel al-Hashlamon akiwa chini baada ya kupigwa risasi.…
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Polisi ajiua kwa risasi kituoni
>Polisi aliyefahamika kwa jina la Charles mwenye namba H 3416 wa Kituo cha Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, amejiua kwa kujipiga risasi akiwa ndani ya kituo.
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Polisi waua mwanamke kwa risasi
MWANAMKE mmoja Joyce Maragabu (65), amekufa baada ya kupigwa risasi kichwani na askari polisi waliokuwa kwenye jitihada ya kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi, aliyekuwa mnadani Kijiji cha Iglansoni, Wilaya Ikungi mkoani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania