Hashish: familia ya wanne kuuawa Saudia
Hashish:Watu wanne wa familia moja kunyongwa Saudi Arabia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Feb
SIMULIZI: Huzuni, hofu vyatesa familia ya albino aliyetekwa, kuuawa -2
>Shija anasema yeye ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwa baba na mama yake, walizaliwa watoto wanane, kati ya hao wanne ni albino, lakini kati ya albino hao wawili wamekufa, hivyo wamebaki wawili.
10 years ago
KwanzaJamii20 Aug
WATU WANNE WA FAMILIA MOJA WAUAWA KWA KUKUTWA NA BHANGI
Familia ya wanne kuuawa Saudia kwa kupatikana na Hashish
Utawala wa Saudi Arabia umeagiza kuuawa kwa watu wanne kutoka kwa familia moja kwa kosa la kumiliki dawa za kulevya.
kaka hao waliokuwa katika makundi mawili waliuliwa Jumatatu katika mji wa Najran ulio kusini mashariki baada ya kuhukumiwa kwa kupokea kiasi kikubwa cha hashish.
Mahakama ya taifa hilo imetoa adhabu za kifo kwa watu 17 katika wiki mbili zilizopita ikilinganishwa na 17 katika miezi sita ambayo imepita.
Mwaka wa 2013...
10 years ago
TheCitizen24 Sep
$249m hashish haul impounded off Somalia coast
A joint Australian and New Zealand maritime patrol has impounded 5,588kg of Hashish off the coast of Somalia estimated to be worth 280 million AUD (Sh415.982bn) after trailing a dhow from the Arabian Sea.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s72-c/written-budget.jpg)
Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s1600/written-budget.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oXuSRhFkZKg/VgYmTxTna4I/AAAAAAAAU_8/bg4zJrFA94w/s72-c/1.jpg)
WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa Kahama.BUZWAGI imeanzisha mkakati wa kukuza na kuboresha hali ya utendaji kazi kwa wafanyakazi wake kwa kuanzisha utaratibu wa kuwakutanisha wafanyakazi wa mgodi huo na familia zao mara moja kwa mwaka katika siku maalumu ya familia ambayo hutoa fursa kwa familia za wafanyakazi wa mgodi huo kuweza kujionea namna ambavyo shughuli za uchimbaji wa madini hufanyika na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa kampuni kwa ujumla.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-aEGBszvWfgk/VFqC8Mm9NHI/AAAAAAAArmc/Z7_QVP0NEL8/s1600/JK%2B3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, MAKATIBU WAKUU WANNE
MAKATIBU WAKUU WA WIZARA  Rais…
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s72-c/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2156398/lowRes/670006/-/oe4wxmz/-/kikwete.jpg)
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s1600/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
wanawake wa Saudia waamua
Harakati za kutetea haki za wanawake nchini Saudi Arabia kutaka na wao wapewe haki ya kuendesha magari kama wanaume zashika kasi.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Mez B anusurika kuuawa
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Moses Bushamaga ‘Mez B’ usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita alinusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana maeneo ya Sinza Vatican jijini Dar...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania