Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana wa Kenya warejea kutoka Brazil

Timu ya vijana walio chini ya umri wa miaka 18 kutoka Kenya wamerejea nyumbani baada ya kushiriki mashindano ya Football For Hope

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vijana wa TYSA kuwakilisha Kenya Brazil

Vijana wa Kenya wachaguliwa na FIFA kushiriki mashindano ya 'Football For Hope Festival' Brazil

 

10 years ago

Vijimambo

Vijana watano kutoka Tanzania watumbuiza na Ben Pol jukwaa la 'Coke Studio Afrika' Kenya

Ben Pol kutoka Tanzania (wa pili kushoto), Wangechi kutoka Kenya (wa tano kushoto) na Silva Stone kutoka Ghana (wa pili kulia) wakiwa pamoja na vijana kutoka Tanzania waliokwenda kushuhudia tamasha la Coke Studio Afrika nchini Kenya baada ya kushinda kupitia shindano lililoedeshwa kupitia akaunti ya instagramu ya Millard Ayo.
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya.Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika  kila...

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA BRAZIL 2014: Dakika 90 ni asilimia 20 tu za soka Brazil

>Unapofungua televisheni yako na kufaidi dakika 90 za soka za Kombe la Dunia ujue kuwa unafaidi asilimia 20 tu ya mchezo wenyewe. Asilimia 80 ya mchezo huo zipo nje ya uwanja.

 

10 years ago

Michuzi

WANARIADHA WA POLISI WAREJEA KUTOKA SWAZILAND

Wanamichezo wa Polisi Tanzania waliokuwa wakishiriki Michezo ya Umoja wa Majeshi ya Polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) katika mji wa Mbabane Swaziland wakiwa katika uwanja wa ndege wa Swaziland baada ya kumalizika kwa michezo hiyo ambapo walifanikiwa kujipatia jumla ya medali kumi na moja .(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi,Swaziland)

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wa Kenya warejea nyumbani

Waniadha wa Kenya wamerejea nyumbani kutoka Beijing ambako wamelakiwa kwa tahadhimu kuu na serikali na Wakenya wengine

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahujaji waliotoka Kenya warejea nyumbani

Kundi la kwanza la mahujaji kutoka Kenya waliokuwa wameenda kuhiji Mecca limerejea Kenya, huku utata ukiendelea kuhusu idadi ya waliofariki katika mkanyagano.

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA 119 KUTOKA DUBAI WAREJEA NCHINI, WAISHUKURU SERIKALI

Serikali ya Tanzania imewarejesha nchini watanzania 119 ambao walikuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) kufuatia kuzuiwa kwa safari za ndege kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosabishwa na virus vya corona (COVID-19).
Ndege ya fly Dubai imewarejesha watanzania hao waliokuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) tangu 25 Machi 2020 Serikali ya Falme za Kiarabu ilipotoa zuio la kuingia na kutoka kwa ndege. 
Ndege hiyo imewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)...

 

11 years ago

GPL

WASHINDI WA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ WAREJEA KUTOKA OLD TRAFFORD

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku.
Meneja Uhusiano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani