Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanariadha wa Kenya warejea nyumbani

Waniadha wa Kenya wamerejea nyumbani kutoka Beijing ambako wamelakiwa kwa tahadhimu kuu na serikali na Wakenya wengine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mahujaji waliotoka Kenya warejea nyumbani

Kundi la kwanza la mahujaji kutoka Kenya waliokuwa wameenda kuhiji Mecca limerejea Kenya, huku utata ukiendelea kuhusu idadi ya waliofariki katika mkanyagano.

 

10 years ago

Michuzi

WANARIADHA WA POLISI WAREJEA KUTOKA SWAZILAND

Wanamichezo wa Polisi Tanzania waliokuwa wakishiriki Michezo ya Umoja wa Majeshi ya Polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) katika mji wa Mbabane Swaziland wakiwa katika uwanja wa ndege wa Swaziland baada ya kumalizika kwa michezo hiyo ambapo walifanikiwa kujipatia jumla ya medali kumi na moja .(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi,Swaziland)

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI

KUNDI la Watanzania 26 limerejea nyumbani kutoka Afrika Kusini  leo tarehe 25 Aprili, 2015 kufuatia mashambulizi ya wazawa dhidi ya wageni.  Kundi hilo la kwanza kurejea nyumbani liliwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa 11 alfajiri na Ndege ya Fast Jet.  Watanzania hao walikuwa wanaishi katika kambi za dharura za Isipingo na Phoenix zilizopo jijini Durban. Walisindikizwa kurudi...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WATANZANIA 26 WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA


Kundi la Watanzania 26 limerejea nyumbani kutoka Afrika Kusini  leo tarehe 26 Aprili, 2015 kufuatia mashambulizi ya wazawa dhidi ya wageni.  Kundi hilo la kwanza kurejea nyumbani liliwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa 11 alfajiri na Ndege ya Fast Jet.  Watanzania hao walikuwa wanaishi katika kambi za dharura za Isipingo na Phoenix zilizopo jijini Durban. Walisindikizwa...

 

10 years ago

Michuzi

watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita

Balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Ali Ahmed Saleh (aliyebeba mtoto) akiwa na baadhi ya kundi la Watanzania 18 waliookolewa kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita. Hapa wananchi hao  wapo  katika uwanja wa ndege wa Muscat wakiwa njiani kurejeshwa nyumbani.Sehemu ya wananchi hao wakijiandaa kuondoka Muscat, Oman, kurejea nyumbani

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Raia 246 wa Tanzania waliokwama India warejea nyumbani

Bi. Saada raia wa Tanzania aliyekuwa amekwama nchini India. Ameieleza BBC juu ya furaha ya kurejea nyumbani.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

 



Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600              

 


                20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

WATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI

Kundi...

 

11 years ago

Michuzi

dkt makame na mwigulu nchemba warejea nyumbani baada ya kuhudhuria sherehe za muungano marekani

  Mhe. Dkt. Mwinyihaji Makame(wa pili kushoto)Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar,Mhe.Mwigulu Nchemba(wa pili kulia),Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Paul Mwafongo (Kulia)na Bw.Suleiman Saleh (kushoto), Maofisa wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington DC wakiwasindikiza viongozi hao katika uwaja wa ndege wa Dulles,Washington DC, baada ya kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanzania zilizoandaliwa na Ubalozi Jumamosi na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha waandamana Kenya

Kundi la wanariadha waliojawa na hamaki limevamia makao makuu ya shirikisho la riadha nchini Kenya AK

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani