dkt makame na mwigulu nchemba warejea nyumbani baada ya kuhudhuria sherehe za muungano marekani
.jpg)
Mhe. Dkt. Mwinyihaji Makame(wa pili kushoto)Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar,Mhe.Mwigulu Nchemba(wa pili kulia),Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Paul Mwafongo (Kulia)na Bw.Suleiman Saleh (kushoto), Maofisa wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington DC wakiwasindikiza viongozi hao katika uwaja wa ndege wa Dulles,Washington DC, baada ya kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanzania zilizoandaliwa na Ubalozi Jumamosi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Hotuba ya Mhe. Mwigulu Nchemba katika sherehe za Muungano Washington DC
Mhe. Mwigulu Nchemba akizungumza katika moja ya hafla hapa Washington DC.(Picha kwa hisani ya Vijimambo Blog).
Ifuatayo ni hotuba ya Mhe Mwigulu Nchemba.
Naibu Waziri wa Fedha na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Tanzania Bara) aliyoitoa katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano hapa Washington DC.
Audio hii ni kwa hisani ya Vijimambo Blog
11 years ago
Michuzi
Hotuba Ya Mhe. Mwigulu Nchemba katika sherehe za Miaka 50 ya Muungano,jijini Washington DC

Picha kwa hisani ya Vijimambo Blog Ifuatayo ni hotuba ya Mhe Mwigulu Nchemba. Naibu Waziri wa Fedha na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Tanzania Bara) aliyoitoa katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano hapa Washington DC. Audio hii ni kwa hisani ya Vijimambo Blog
5 years ago
Michuzi
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.

11 years ago
Michuzi.jpg)
Msanii wa orijino komedi mpoki aalikwa ujerumani kuhudhuria sherehe za muungano
Mpoki amesema kuwa umuhimu mkubwa wa safari yake ni...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti..
Picha zimeenea mitandaoni zikimuonesha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye ziara katika machinjio maarufu ya ng’ombe pamoja na mbuzi iliyopo eneo la Vingunguti Dar es Salaam. Baada ya ziara hiyo Waziri Nchemba ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Twitter >>> ‘Machinjio- Vingunguti usiku huu,hatua za awali nakutana na upotevu wa kodi […]
The post Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti.. appeared first...
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Baada ya Show ya Pasaka Mwanza, Skylight Band warejea nyumbani kuendeleza burudani Thai Village
Aneth Kushaba AK 47 akiongoza waimbaji wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa ya mwisho kabla ya kuelekea jijini Mwanza kwenye ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar
Digna Mbepera akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band ndani ya Thai Village.
First lady wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akicheza kwa raha zakeee jukwaniii ndani ya Thai Village Masaki.
Muziki ni Hisia na ndicho anachokifanya hapa mpiga gitaa mahiri wa Skylight band Allen Kiso Mundende.
Aneth...
10 years ago
Vijimambo
Uliona alichoandika Naibu waziri wa fedha mh.Mwigulu Nchemba baada ya kupokea taarifa ya kufutwa uanachama Zitto Z.Kabwe

Nakusihi kijana...
11 years ago
Michuzi.jpg)
10 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE

