Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


sherehe za muungano seattle, marekani


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA MUUNGANO WASHINGTON, SEATTLE

 Mayor wa Seattle Amin (kushoto akiwa na Bwana Ubwa Jas katika sherehe ya Muungano iliyofanyika siku ya Jumamosi April 25, 2015 Seattle jimbo la Washington.Bi Ubwa akiwa kwenye sherehe ya Muungano iliyofanyika siku ya Jumamosi April 25, 2015 Seattle jimbo la Washington.Wadau wakiwa kwenye sherehe ya Muungano Seattle.Nick akiwa na mama mwenye nyumba wake EdithJimmy na mama mwenye nyumba wake FatmaKwa picha zaidi bofya soma zaidi

Zaham Brothers Bi. Rahima J. Bi. Mwana na Bwn. Ubwa Jaha

 

11 years ago

Michuzi

dkt makame na mwigulu nchemba warejea nyumbani baada ya kuhudhuria sherehe za muungano marekani

  Mhe. Dkt. Mwinyihaji Makame(wa pili kushoto)Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar,Mhe.Mwigulu Nchemba(wa pili kulia),Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Paul Mwafongo (Kulia)na Bw.Suleiman Saleh (kushoto), Maofisa wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington DC wakiwasindikiza viongozi hao katika uwaja wa ndege wa Dulles,Washington DC, baada ya kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanzania zilizoandaliwa na Ubalozi Jumamosi na...

 

11 years ago

Dewji Blog

CRDB yaipiga jeki ubalozi wa Tanzania Marekani kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Muungano

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe/ Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano zitakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...

 

11 years ago

GPL

CRDB YAIPIGA JEKI UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI KWA AJILI YA MAANDALIZI YA SHEREHE YA MUUNGANO‏

 Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bwn. Saugata Bandyopadhyay CRDB Deputy Managing Director (operations and customer services)  Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bwn. Alex Ngusaru Director of Treasery wa CRDB…

 

10 years ago

Vijimambo

MSAADA WA USAFIRISHAJI WA VIFAA VYA KIJAMII KUTOKA WASHINGTON, SEATTLE MAREKANI KWENDA ZANZIBAR

Ndugu Zangu
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu mbele yenu kuandika mada yangu tukufu kama ilivyotanjwa hapo juu.

Kwa niaba yangu binafsi, Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla waliopo hapa Washington State na Nchini Marekani napenda kutumia nafasi ya kutoa maelezo ya vifaa vilivyopo hivi sasa katika Storage zetu kwa hatua kuvisafirisha kutoka Bandari ya Seattle hadi Zanzibar.

Vifaa hivi vimekusanywa na mimi kwa mashirikiano wafadhili mbali mbali waliojitolea kwa ajili ya kusaidia juhudi za...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA MUUNGANO DMV

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly na mweka hazina wake Bi. Jasmine Rubama wakiweka mahesabu sawa siku ya sherehe ya Muungano April 25, jioni iliyofanyika Beltsville, Maryland.Wadau mbalimbali waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.Wadau wakipata ukodak moment.Wadau waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.Watanzania wakijumuika pamoja na kupata picha ya kumbukumbu siku ya sherehe ya Muungano DMV iliyofanyika Jumamosi April 25, 2015 Beltsville,...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MUUNGANO DMV.


JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA KUJUMUIKA NA MHE.MSTAAFU RAIS ALI HASSAN MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO JUMAMOSI TAREHE 25 Aprili 2015 SHEREHE HIZO ZITAAMBATANA NA BBQ SAA 8:00 MCHANA NA KUFWATIWA NA   MECHI YA MPIRA KATI YA TANZANIA BARA NA VISIWANI SAA 12:30 JIONIANUANI 8001 WALKER MILL RD,DISTRICT HEIGHTS MD,20747SHUKRANI KWA WADHAMINI THE PEOPLE’S BANK OF TANZANIA

 

11 years ago

Michuzi

Maandalizi ya sherehe za Muungano Washington DC


Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mulamula akizungumzia maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano ofisini kwake Washington Dc Jumatano, Aprili 23, 2014.
Photo: Sunday Shomari

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani