Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CRDB YAIPIGA JEKI UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI KWA AJILI YA MAANDALIZI YA SHEREHE YA MUUNGANO‏

 Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bwn. Saugata Bandyopadhyay CRDB Deputy Managing Director (operations and customer services)  Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bwn. Alex Ngusaru Director of Treasery wa CRDB…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

CRDB yaipiga jeki ubalozi wa Tanzania Marekani kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Muungano

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe/ Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano zitakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...

 

11 years ago

Michuzi

CRDB YAKABIDHI MCHANGO WAKE KWA UBALOZI WA TANZANIA NCHI MAREKANI


 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano itakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...

 

10 years ago

Michuzi

CRDB YAIPIGA 'JEKI' CHUO KIKUU CHA ST JOHN'S DODOMA


Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya CRDB, Philip Alfred akihutubia wakati wa Mahafali ya 5 ya Chuo Kikuu cha St. John's  Mjini Dodoma mwishoni mwa wiki. (Na Mpiga Picha Wetu)
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dickson Chilongani (kushoto), akikabidhiwa na Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya CRDB, Philip Alfred, mfano wa hundi na bahasha mara baada ya hotuba. Hundi hiyo ina thamani ya hundi ya sh. milioni 10 ukiwa ni msaada wa benki hiyo kwa Chuo Kikuu cha St. John's...

 

10 years ago

Michuzi

CHINA YAIPIGA JEKI WIZARA YA AFYA ZANZIBAR,YAIPATIA VIFAA KWA AJILI YA KITENGO CHA MATIBABU YA MACHO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZIMMOJA

Balozi Mdogo wa China aliopo Zanzibar,Mh. Xie Yuanliang (kulia) akimkabidhi Waziri wa Afya Zanzibar,Mh. Rashid Seif Suleima msaada wa vifaa vya matibabu ya macho uliotolewa na Serikali ya nchi yake. Hafla hiyo ilifanyika Makao Mkuu ya wizara ya Afya Mnazimmoja mjini Zanzibar.Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar,Dkt. Saleh Mohamed Jidawi akitoa maelezo wakati wa Hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa vya uchunguzi na upasuaji wa macho kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China. Wa kwanza...

 

11 years ago

Michuzi

UBALOZI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE) WASHEREHEKEA SHEREHE ZA MIAKA 50 MUUNGANO WA TANZANIA

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu,Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk (kushoto) akimpokea mgeni rasmi wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano Tanzania, Mheshimiwa Dr. Hadef Jawa’n Al Dhaheri, Waziri wa Sheria wa UAE,katika hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Intercontinental,Abu Dhabi. Balozi Mbarouk akiwa na Chief of Protocol wa UAE Mhe. Shihab Al Faheem. Balozi Mbarouk akimuongoza Mgeni rasmi Mhe. Dr. Hadef Jawa’n Al Dhaheri, Waziri wa Sheria wa Umoja...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA NA MAREKANI WASHEREHEKEA USAMBAZAJI WA VITABU MILIONI 2.5 KWA AJILI YA SHULE ZA SEKONDARI NCHINI‏

 Wananchi waliojitokeza katika sherehe ya makabidhiano ya vitabu milioni 2.5 vya sayansi na hisabati kwa shule za sekondari za serikali nchini. Vitabu hivyo kutoka  serikali ya watu wa Marekani vilikabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress katika hafla iliyofanyika Shule ya Sekondari Mtakuja Beach iliyopo Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam leo. Hafla hiyo ilifanyika katika shule hiyo...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAIPIGA JEKI SHULE YA BARAZANI MANYARA‏

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Barazani iliyoko wilayani Mbulu mkoani Manyara wakishuhudia tukio la makabidhiano ya jengo la darasa lililojengwa kwa msaada na Vodacom Foundation.…

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA UWEKEZAJI YA ULAYA (E.I.B), YAIPIGA JEKI BENKI YA CRDB

BENKI ya CRDB imesaini mkataba wa mkopo wa sh. bilioni 43 baina ya benki ya uwekezaji Ulaya (E.I.B) kwa ajili ya kuwakopesha na kuwasaidia wafanyabiashara wanaofanya shughuli za kukuza uchumi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei alisema benki yake kwa kushirikiana na EIB imeamuwa kusaidia jamii nchini hivyo mkataba huo ni mwanzo wa ushirikiano endelevu utakaohamasisha upatikanaji wa ajira.

Alisema kufanyakazi na benki ya EIB...

 

10 years ago

GPL

SHEREHE ZA UFUNGUAJI WA MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UFARANSA‏

Rais Kikwete akiongea na wageni waalikwa. Waziri Membe akisoma muhtasari wa majengo hayo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani