CHINA YAIPIGA JEKI WIZARA YA AFYA ZANZIBAR,YAIPATIA VIFAA KWA AJILI YA KITENGO CHA MATIBABU YA MACHO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZIMMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hYh0Bh-86sc/VONaOo2Fk4I/AAAAAAAHELk/s-4ll1aOQ_w/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Balozi Mdogo wa China aliopo Zanzibar,Mh. Xie Yuanliang (kulia) akimkabidhi Waziri wa Afya Zanzibar,Mh. Rashid Seif Suleima msaada wa vifaa vya matibabu ya macho uliotolewa na Serikali ya nchi yake. Hafla hiyo ilifanyika Makao Mkuu ya wizara ya Afya Mnazimmoja mjini Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar,Dkt. Saleh Mohamed Jidawi akitoa maelezo wakati wa Hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa vya uchunguzi na upasuaji wa macho kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China. Wa kwanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Feb
ZANZIBAR | CHINA YAISAIDIA WIZARA YA AFYA VIFAA KWA AJILI YA KITENGO CHA MATIBABU YA MACHO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZIMMOJA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/chi1.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/chi2.jpg)
10 years ago
MichuziCBE YATOA MSAADA WA MASHUKA KWA AJILI YA WODI YA AKINAMAMA NA WATOTO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA ZANZIBAR
10 years ago
MichuziKITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
CRDB yaipiga jeki ubalozi wa Tanzania Marekani kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Muungano
11 years ago
GPLCRDB YAIPIGA JEKI UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI KWA AJILI YA MAANDALIZI YA SHEREHE YA MUUNGANO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Op3VJqNwMu0/U30GWGslc9I/AAAAAAAFkWM/dLiMSn0JhTM/s72-c/unnamed+(29).jpg)
ZANZIBAR NA CHINA ZATIA SAINI MAKUBALIANO YA UJENGWAJI WA ICU KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Op3VJqNwMu0/U30GWGslc9I/AAAAAAAFkWM/dLiMSn0JhTM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D6XM1CIaQEA/U30GYLGcTKI/AAAAAAAFkWU/ycyDmN6i5WI/s1600/unnamed+(30).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
China yaipiga jeki shule
SERIKALI ya China imetoa msaada wa kisima, vitabu, madawati na viti kwa Shule ya Msingi Mzambarauni iliyopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam. Akitoa msaada huo jijini Dar es Salaam...
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA