Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kusanyeni kodi za majengo-Waziri Nchemba

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amezitaka halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji kuongeza mapato kwa kukusanya kodi za majengo badala ya kukimbizana na wafanyabiashara ndogondogo na wajane.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti..

Picha zimeenea mitandaoni zikimuonesha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye ziara katika machinjio maarufu ya ng’ombe pamoja na mbuzi iliyopo eneo la Vingunguti Dar es Salaam. Baada ya ziara hiyo Waziri Nchemba ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Twitter >>> ‘Machinjio- Vingunguti usiku huu,hatua za awali nakutana na upotevu wa kodi […]

The post Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti.. appeared first...

 

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WAZIRI MWIGULU NCHEMBA ATUA MACHINJIO YA VINGUNGUTI USIKU, AKUTANA NA MADUDU YA KUTAFUNA KODI

Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi,Mh.Mwigulu Lameck Nchemba akisikiliza kero za wadau wa machinjio ya Vingunguti usiku  wa January 01/01/2016.Mwigulu Nchemba akishuhudia Ng'ombe aliyetayari kwa taratibu za kuchinjwa kwa ajili ya kitoweo.Mbuzi wakiwa tayari kwa ajili ya kuchinjwa kwenye machinjio hayo ya Vingunguti.Mbuzi hawa asilimia kubwa wanatoka mnada wa Pugu ambao Ushuru wake unakusanywa na serikali kuu.Waziri Mwigulu Nchemba akikagua maeneo ya machinjio hayo usiku huu.Mwigulu Nchemba...

 

11 years ago

Mwananchi

‘NHC iondolewe kodi ya majengo’

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekubaliana na kilio cha Shirika la Nyumba kuomba iondolewe kodi kwa lengo la kupunguza gharama za nyumba kwa Watanzania wenye kipato cha chini.

 

9 years ago

Michuzi

Wamiliki wa majengo wahimizwa kulipa kodi

 Afisa Uhusiano wa Manispaa ya Ilala Bi Tabu Shaibu akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu mikakati ya Manispaa hiyo katika kukusanya Kodi ya majengo ikiwemo kuelimisha umma juu ya umuhimu wa kulipa kodi pasipo shuruti. Kushoto ni Meneja wa Kodi ya Majengo wa Manispaa hiyo Bw. Kasuja Revelian.

Meneja wa Kodi ya Majengo toka Manispaa ya Ilala Bw. Kasuja Revelian akifafanua kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zitakazochukuliwa na Serikali kwa wale wote watakaoshindwa kulipa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kibaha yakusanya mil. 122/- kodi ya majengo

HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha, Pwani imesema hadi Juni 30, 2014 imekusanya sh milioni 122 kodi ya majengo ambayo ni sawa na asilimia 77 kati ya sh milioni 158.4 iliyotarajiwa....

 

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji Msigwa adai CCM inakwepa kodi ya majengo

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameituhumu CCM kuwa ni miongoni mwa taasisi zinazokwepa kulipa kodi ya majengo na kuisababishia hasara Serikali.

 

11 years ago

Habarileo

Nchemba- Nipeni taarifa za wakwepa kodi

NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amewaomba wadau katika Sekta ya Usafirishaji na wabunge, kutoa taarifa kuhusu wamiliki wa malori wanaokwepa kodi, ili awachukulie hatua.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfumo wa Kielektroniki kutumika ukusanyaji wa kodi ya majengo jijini Mwanza

4-aggrey Mwanri akijibu hoja

Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa  Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Aggrey Mwanri.

Na.  Johary Kachwamba
  JIJI la Mwanza limeingizwa katika mfumo wa kielektroniki wa utambuzi wa majengo yote  yanayopaswa kufanyiwa uthamini unaojulikana kama Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS) kupitia mradi wa Miji ya kimkakati (TSCP) unaohisaniwa na Benki ya Dunia. Katika kujibu swali la Mhe.Dkt. Festus Bulugu, Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Nchemba awabeza viongozi washirikina

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba amesema viongozi wanaokimbilia kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kupata madaraka wameishiwa kisera, kiimani na kwamba hawajiamini, hivyo kamwe hawawezi kukubalika kwenye jamii na wasitegemee kupata nafasi wanazohitaji bila kumtanguliza Mungu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani