Waziri Nchemba awabeza viongozi washirikina
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba amesema viongozi wanaokimbilia kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kupata madaraka wameishiwa kisera, kiimani na kwamba hawajiamini, hivyo kamwe hawawezi kukubalika kwenye jamii na wasitegemee kupata nafasi wanazohitaji bila kumtanguliza Mungu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Kusanyeni kodi za majengo-Waziri Nchemba
10 years ago
Habarileo06 Apr
Malasusa: Waumini wengi washirikina
MATUKIO ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Waziri Nchemba Afanya Ziara Ya Kushtukiza Usiku Machinjioni Dar
![Mwigulu (1)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-1.png)
![Mwigulu (2)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-2.png)
![Mwigulu (3)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-3.png)
![Mwigulu (4)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-4.png)
![Mwigulu (5)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-5.png)
10 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba aifagilia UTT Microfinance
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Waziri Nchemba aingilia kati mapigano ya wakulima, wafugaji Mvomero
10 years ago
CloudsFM07 Jan
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti..
Picha zimeenea mitandaoni zikimuonesha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye ziara katika machinjio maarufu ya ng’ombe pamoja na mbuzi iliyopo eneo la Vingunguti Dar es Salaam. Baada ya ziara hiyo Waziri Nchemba ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Twitter >>> ‘Machinjio- Vingunguti usiku huu,hatua za awali nakutana na upotevu wa kodi […]
The post Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti.. appeared first...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_SSgmRNgh8M/Xq2VpeQPNnI/AAAAAAALo2w/3m-85bEUA7EuysoZDOLLBvotNQOsKnyMQCLcBGAsYHQ/s72-c/mwigulu%252Bpic.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kJ95Pplvg9U/VSIXMd45asI/AAAAAAAAZv8/Fqf4KPhklng/s72-c/1.jpg)
Askofu wa KKT Afunguka juu Ya Waumini Wengi Kuwa WASHIRIKINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kJ95Pplvg9U/VSIXMd45asI/AAAAAAAAZv8/Fqf4KPhklng/s640/1.jpg)
Matukio ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.Hayo yamebainishwa kwenye Ibada ya Sikukuu ya Pasaka katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front na Mkuu wa kanisa hilo, Askofu Dk Alex Malasusa.
Alisema hofu na kukosa uhakika ni...