Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malasusa: Waumini wengi washirikina

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk Alex Malasusa akiongoza ibada ya Pasaka katika Kanisa la Azania Front, Dar es Salaam jana.(Picha na Fadhili Akida).MATUKIO ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Askofu wa KKT Afunguka juu Ya Waumini Wengi Kuwa WASHIRIKINA



Matukio ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.Hayo yamebainishwa kwenye Ibada ya Sikukuu ya Pasaka katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front na Mkuu wa kanisa hilo, Askofu Dk Alex Malasusa.
Alisema hofu na kukosa uhakika ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Nchemba awabeza viongozi washirikina

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba amesema viongozi wanaokimbilia kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kupata madaraka wameishiwa kisera, kiimani na kwamba hawajiamini, hivyo kamwe hawawezi kukubalika kwenye jamii na wasitegemee kupata nafasi wanazohitaji bila kumtanguliza Mungu.

 

11 years ago

Off

Malasusa: No winner in stand


Malasusa: No winner in stand-off
IPPmedia
At least 32 Catholic bishops have said the standoff among members of the Constituent Assembly should not cause wananchi to lose hope. Instead they have urged them to join people of good will to fight against all the evils and political ideologies so as to ...

 

10 years ago

Habarileo

Malasusa ataka wanawake wavumilie

Mkuu wa KKKT, Askofu Dk Alex MalasusaMKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Askofu Alex Malasusa amewataka wanawake nchini kuwa wavumilivu katika mambo mbalimbali yanayowakabili.

 

10 years ago

TheCitizen

Graft must be strongly tackled, says Malasusa

>The Lead Bishop of the Evangelical Lutheran Church of Tanzania (ELCT), Dr Alex Malasusa, has strongly condemned the rising moral decadence expressed in the form of corruption among leaders and civil servants.

 

9 years ago

TheCitizen

Lutheran church gets new leader as Malasusa leaves

Bishop Frederick Onael Shoo is the new Head of the Evangelical Lutheran of Tanzania (ELCT).

 

10 years ago

TheCitizen

Malasusa advocates secular state system

>Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) Bishop, Dr Alex Malasusa (pictured), yesterday pleaded with government leaders to ensure Tanzania remained a secular state.

 

10 years ago

Habarileo

Malasusa ahimiza viongozi nchini kuacha ufisadi

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa UFISADI uliokithiri umeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na woga wa viongozi kwa kushindwa kuwachukulia hatua stahiki watuhumiwa wa matukio ya ufisadi nchini.

 

9 years ago

TheCitizen

Malasusa challenges workers to be self-driven in fulfilling duties

Bishop Alex Malasusa of the Evangelical Lutheran Church in Tanzania has challenged workers to undertake their duties diligently instead of waiting to be pushed by President John Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani