Malasusa: Waumini wengi washirikina
MATUKIO ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kJ95Pplvg9U/VSIXMd45asI/AAAAAAAAZv8/Fqf4KPhklng/s72-c/1.jpg)
Askofu wa KKT Afunguka juu Ya Waumini Wengi Kuwa WASHIRIKINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kJ95Pplvg9U/VSIXMd45asI/AAAAAAAAZv8/Fqf4KPhklng/s640/1.jpg)
Matukio ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.Hayo yamebainishwa kwenye Ibada ya Sikukuu ya Pasaka katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front na Mkuu wa kanisa hilo, Askofu Dk Alex Malasusa.
Alisema hofu na kukosa uhakika ni...
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Waziri Nchemba awabeza viongozi washirikina
11 years ago
Off21 Apr
Malasusa: No winner in stand
IPPmedia
At least 32 Catholic bishops have said the standoff among members of the Constituent Assembly should not cause wananchi to lose hope. Instead they have urged them to join people of good will to fight against all the evils and political ideologies so as to ...
10 years ago
Habarileo07 Apr
Malasusa ataka wanawake wavumilie
MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Askofu Alex Malasusa amewataka wanawake nchini kuwa wavumilivu katika mambo mbalimbali yanayowakabili.
10 years ago
TheCitizen26 Dec
Graft must be strongly tackled, says Malasusa
9 years ago
TheCitizen16 Aug
Lutheran church gets new leader as Malasusa leaves
10 years ago
TheCitizen12 Jan
Malasusa advocates secular state system
10 years ago
Habarileo26 Dec
Malasusa ahimiza viongozi nchini kuacha ufisadi
UFISADI uliokithiri umeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na woga wa viongozi kwa kushindwa kuwachukulia hatua stahiki watuhumiwa wa matukio ya ufisadi nchini.
9 years ago
TheCitizen24 Dec
Malasusa challenges workers to be self-driven in fulfilling duties