Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malasusa ataka wanawake wavumilie

Mkuu wa KKKT, Askofu Dk Alex MalasusaMKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Askofu Alex Malasusa amewataka wanawake nchini kuwa wavumilivu katika mambo mbalimbali yanayowakabili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mengi ataka wanawake kujiamini

MWENYEKITI wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Reginald Mengi, amewataka wanawake kujiamini na kutambua kuwa wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi hasa ya kiuchumi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika...

 

9 years ago

Habarileo

Ataka wanawake kuipigia Ukawa

MKE wa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Regina Lowassa amewataka wanawake kuipigia kampeni na kuuchagua Ukawa kuleta mabadiliko.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ataka chombo cha wanawake

UWEPO wa chombo maalum, umetajwa kama njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume, hivyo kubaki nyuma kiuchumi na kiuongozi. Mhadhiri wa Chuo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka Benki ya Wanawake Pemba

MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itapeleka Benki ya Wanawake katika mikoa ya Pemba, ili nao waweze kunufaika na benki hiyo. Msabaha...

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Dk. Kone ataka wanawake Singida wawezeshwe kiuchumi ili kuachana na vitendo vya ukeketaji

DSC04009

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufungaji wa kongamano la siku mbili la ukeketaji lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Katala Hotel Beach mjini Singida. Kongamano hilo lilihudhuriwa na wadau kutoka mikoa mitano hapa nchini ukiwemo wa Singida. Kongamano hilo lililoratibiwa na TAMWA na UNFPA, kwa kauli moja pamoja na mambo mengine, limeazimia kuongeza mapambano dhidi ya ukeketaji na kuitaka jamii katika mikoa yote nchini kuondokana na mila potofu na...

 

11 years ago

Off

Malasusa: No winner in stand


Malasusa: No winner in stand-off
IPPmedia
At least 32 Catholic bishops have said the standoff among members of the Constituent Assembly should not cause wananchi to lose hope. Instead they have urged them to join people of good will to fight against all the evils and political ideologies so as to ...

 

10 years ago

TheCitizen

Graft must be strongly tackled, says Malasusa

>The Lead Bishop of the Evangelical Lutheran Church of Tanzania (ELCT), Dr Alex Malasusa, has strongly condemned the rising moral decadence expressed in the form of corruption among leaders and civil servants.

 

10 years ago

Habarileo

Malasusa: Waumini wengi washirikina

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk Alex Malasusa akiongoza ibada ya Pasaka katika Kanisa la Azania Front, Dar es Salaam jana.(Picha na Fadhili Akida).MATUKIO ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.

 

9 years ago

TheCitizen

Lutheran church gets new leader as Malasusa leaves

Bishop Frederick Onael Shoo is the new Head of the Evangelical Lutheran of Tanzania (ELCT).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani