Malasusa ataka wanawake wavumilie
MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Askofu Alex Malasusa amewataka wanawake nchini kuwa wavumilivu katika mambo mbalimbali yanayowakabili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mengi ataka wanawake kujiamini
MWENYEKITI wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Reginald Mengi, amewataka wanawake kujiamini na kutambua kuwa wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi hasa ya kiuchumi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika...
9 years ago
Habarileo03 Sep
Ataka wanawake kuipigia Ukawa
MKE wa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Regina Lowassa amewataka wanawake kuipigia kampeni na kuuchagua Ukawa kuleta mabadiliko.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Ataka chombo cha wanawake
UWEPO wa chombo maalum, umetajwa kama njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume, hivyo kubaki nyuma kiuchumi na kiuongozi. Mhadhiri wa Chuo...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Mbunge ataka Benki ya Wanawake Pemba
MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itapeleka Benki ya Wanawake katika mikoa ya Pemba, ili nao waweze kunufaika na benki hiyo. Msabaha...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
RC Dk. Kone ataka wanawake Singida wawezeshwe kiuchumi ili kuachana na vitendo vya ukeketaji
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufungaji wa kongamano la siku mbili la ukeketaji lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Katala Hotel Beach mjini Singida. Kongamano hilo lilihudhuriwa na wadau kutoka mikoa mitano hapa nchini ukiwemo wa Singida. Kongamano hilo lililoratibiwa na TAMWA na UNFPA, kwa kauli moja pamoja na mambo mengine, limeazimia kuongeza mapambano dhidi ya ukeketaji na kuitaka jamii katika mikoa yote nchini kuondokana na mila potofu na...
11 years ago
Off21 Apr
Malasusa: No winner in stand
IPPmedia
At least 32 Catholic bishops have said the standoff among members of the Constituent Assembly should not cause wananchi to lose hope. Instead they have urged them to join people of good will to fight against all the evils and political ideologies so as to ...
10 years ago
TheCitizen26 Dec
Graft must be strongly tackled, says Malasusa
10 years ago
Habarileo06 Apr
Malasusa: Waumini wengi washirikina
MATUKIO ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.
9 years ago
TheCitizen16 Aug
Lutheran church gets new leader as Malasusa leaves