Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ataka wanawake kuipigia Ukawa

MKE wa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Regina Lowassa amewataka wanawake kuipigia kampeni na kuuchagua Ukawa kuleta mabadiliko.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mengi ataka wanawake kujiamini

MWENYEKITI wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Reginald Mengi, amewataka wanawake kujiamini na kutambua kuwa wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi hasa ya kiuchumi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika...

 

10 years ago

Habarileo

Malasusa ataka wanawake wavumilie

Mkuu wa KKKT, Askofu Dk Alex MalasusaMKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Askofu Alex Malasusa amewataka wanawake nchini kuwa wavumilivu katika mambo mbalimbali yanayowakabili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ataka chombo cha wanawake

UWEPO wa chombo maalum, umetajwa kama njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume, hivyo kubaki nyuma kiuchumi na kiuongozi. Mhadhiri wa Chuo...

 

11 years ago

Habarileo

Mbowe ataka Ukawa wajiimarishe

VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vikiwa na matumaini ya kuunganisha nguvu katika uchaguzi mkuu ujao, vimeambiwa kila kimoja kijiimarishe kivyake katika mapambano ya kisiasa. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, amesema vyama hivyo, visitegemee nguvu ya umoja huo badala yake, vijiimarishe kuleta ushindani katika harakati zao za kisiasa wanazoendelea kuzifanya.

 

10 years ago

Habarileo

JK ataka mazungumzo na Ukawa yaombewe

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amewaomba Watanzania kuombea mazungumzo baina yake na vyama vya siasa vya upinzani, ikiwemo vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), yanayotarajiwa kuendelea Jumatatu ijayo, yamalizike kwa umoja na mshikamano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka Benki ya Wanawake Pemba

MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itapeleka Benki ya Wanawake katika mikoa ya Pemba, ili nao waweze kunufaika na benki hiyo. Msabaha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu ataka UKAWA warudi bungeni

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini (TMC), Mathew Byamungu ametoa wito kwa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea kwenye Bunge la Katiba pindi litakapoanza tena. Askofu...

 

10 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge Maalum ataka Ukawa wapuuzwe

WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa maelezo kuwa Bunge Maalumu la Katiba likivunjwa na kurejea tena siku zijazo kundi hilo litatoka tena bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa anguruma, ataka Ukawa iungwe mkono

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuungana na kutetea Rasimu ya Katiba Mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani