Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Saed kuanzisha mfuko wa ‘mtoto wa boksi’ Moro

Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Alsaed, Omary Al Saed wa mjini Morogoro anakusudia kuwasiliana na wadau wenzake ili kuanzisha Taasisi ya Nasra Mvungi Foundation, ili kuonyesha namna walivyoguswa na mateso na hatimaye kifo cha mtoto huyo aliyefichwa kwenye boksi kwa muda wa miaka mitatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

‘MTOTO WA BOKSI’ KUAGWA, KUZIKWA LEO MORO

Mtoto Nasra Rashid (4) enzi za uhai wake. MWILI wa mtoto Nasra Rashid (4) utaagwa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuanzia saa 2 hadi saa 3 asubuhi leo. Mwili huo baadaye utazikwa katika makaburi ya Kola, mkoani humo. Nasra alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili Juni 1, mwaka huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akitibiwa baada ya kuugua kutokana na kuishi kwenye boksi kwa muda wa miaka… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mtoto wa boksi’ hatunaye

Mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi akiwa na umri wa miezi tisa, amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa ajili ya uchunguzi na matibabu. Taarifa za...

 

11 years ago

Habarileo

Buriani 'mtoto wa boksi'

MSIBA wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa zaidi ya miaka mitatu, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, umeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini. Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto wa boksi aondolewa mashine

HALI ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne, inaendelea kuimarika baada ya kutolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua. Siku mbili zilizopita, Nasra aliwekewa mashine na kupata...

 

11 years ago

Mwananchi

Kauli ya mwisho ya ‘mtoto wa boksi’

>Mtoto Nasra Rashid Mvungi (4), aliyefichwa kwenye boksi kwa miaka minne, amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na katika saa zake za mwisho za uhai wake alisikika akitamka maneno “sitaki waje kunichukua”.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto wa boksi apumulia mashine

MTOTO Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne mkoani Morogoro, sasa anaopumulia mashine  katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Nasra, alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, alipohamishiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mapya yaibuka mtoto wa boksi

UTATA umeendelea kugubika tukio la mtoto kukutwa kwenye boksi katika mtaa wa Azimio mjini Morogoro akiwa ameishi humo kwa miaka mitatu, ambapo sasa imebainika kuwepo kwa shimo lililojaa maji jirani na alipokuwa amefungiwa mtoto huyo.

 

11 years ago

Habarileo

Bibi wa 'mtoto wa boksi' aibuka

WAKATI mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa na walezi kwa kuishi katika maboksi kwa zaidi ya miaka mitatu, akitarajiwa kuzikwa leo, bibi mzaa mama yake, Asha Abdalah, aliibuka jana kuomba mwili wa marehemu ili wakazike nyumbani kwao.

 

11 years ago

Habarileo

'Mtoto wa boksi' yupo Muhimbili

MTOTO mwenye umri wa miaka minne aliyefungiwa ndani ya boksi kwa zaidi na miaka mitatu mkoani Morogoro, amehamishiwa katika Hos- pitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya uchunguzi na tiba zaidi huku wataalamu wakikuna vichwa namna ya kumrudishia afya yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani