Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yashauriwa kuanzisha benki kwa waajiriwa binafsi ya mikopo

Serikali imeshauriwa kuanzisha benki ya Vijana ambayo itatoa mikopo kwa vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi pamoja na wasomi mbalimbali wanaotaka kujiajiri wenyewe.

Kukosekana kwa benki hiyo na taasisi za kifedha zinazohudumia  vijana kunatajwa kuwa miongoni mwa changamoto inayodumaza hali ya uchumi wa Taifa kutokana na asilimia kubwa ya nguvu kazi ya vijana kutotumika ipasavyo  baada ya vijana wengi kukosa ajira katika sekta rasmi.

 Asilimia kubwa ya vijana kwa sasa tatizo lao si elimu –...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

MO kuanzisha benki ya mikopo kwa wafanyabishara wadogo nchini

DSC_0316

CEO wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akiwa ofisini kwake.

Na Modewjiblog team

Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji ambaye hivi karibuni amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African Business Awards 2015) amebainisha kuwa lengo kuu  la kampuni anayoiongoza ya  MeTL Group,  hadi kufikia mwaka 2022, ni kufikia dola bilioni 5 huku akitarajia kuajiri wafanyakazi zaidi ya Laki moja.

Dewji  maarufu...

 

9 years ago

GPL

MO KUANZISHA BENKI YA MIKOPO KWA WAFANYABISHARA WADOGO NCHINI‏

CEO wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akiwa ofisini kwake. Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji ambaye hivi karibuni amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African Business Awards 2015) amebainisha kuwa lengo kuu la kampuni anayoiongoza ya MeTL Group, hadi kufikia mwaka 2022, ni kufikia dola bilioni 5 huku akitarajia kuajiri...

 

9 years ago

StarTV

 Serikali yashauriwa kuangalia upya kodi kwa shule binafsi

Wadau wa sekta ya elimu nchini,wameishauri serikali kuangalia upya sera yake katika masuala ya kodi kwa shule binafsi ambazo zinakwaza mendeleo ya sekta hiyo huku mzigo mkubwa ukibaki kuzielemea shule hizo pamoja na wazazi.

Wakizungumzia maendeleo ya elimu kwa shule binafsi wadau hao wamesema kazi inayofanyika ni kwa niaba ya serikali kwa kuwasomesha watoto wa watanzania na kuondoa dhana ya kwamba ni eneo la kujitengenezea faida.

Wadau hao akiwemo Mkurugenzi  wa taasisi ya kielimu ya THE...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATAKA MIKOPO YA TADB KUWA CHACHU KWA WAVUVI KUANZISHA VIWANDA VIDOGO


Walioshika mfano wa hundi: Kutoka kushoto, Mkurugenzi Mkuu wa TADB Bw. Japhet Justine, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Zilagula Bw. Joram Yuda na Mratibu wa Dawati la Sekta Binafsi Bw. Steven Michael

……………………………………………………………………………………..

Na. Edward Kondela

Serikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea...

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa aahidi kuanzisha benki ya mikopo nafuu

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vya CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa amesema akiteuliwa kuwa rais ataanzisha benki ya maendeleo kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wananchi wa kipato cha chini.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Hongera Serikali kwa kuanzisha benki ya kilimo

SERIKALI hivi karibuni imetangaza kuanzisha benki maalumu ya maendeleo ya kilimo.

Benki hiyo inajulikana kwa jina la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).

Benki hiyo bado haijaanza kazi ikisubiri kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hata hivyo,  imekwisha kuanza mchakato wa kutafuta wafanyakazi watakaotoa huduma.

Kwa mujibu wa serikali, pamoja na mambo mengine madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa benki hii ni kurahisisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo ili...

 

10 years ago

StarTV

Usimamizi deni la Taifa, Serikali yashauriwa kuanzisha Ofisi ya pamoja.

Na Ephrasia Mawalla,

Dar es Salaam.

 

Mtandao wa Madeni Tanzania umeitaka Serikali kutunga sheria ya kuanzisha Ofisi ya pamoja ya kusimamia deni la taifa ili kuwawezesha watendaji, Serikali na wakopeshaji kudhibiti uhalifu  katika mfumo wa ukopaji na ulipaji wa deni la taifa.

 

Utafiti juu ya deni la taifa umeonyesha kuwa usimamizi wa deni la taifa nchini uko chini ya kamati mbili ambayo wajumbe wake ni maafisa waandamizi kutoka wizara tisa jambo linalochangia udhaifu katika utekelezaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodi Serikali za Mitaa kuanzisha benki

BODI ya Mikopo ya Serikali za Mitaa nchini inatarajia kuanzisha Benki ya Maendeleo, ili kuweza kukopesha halmashauri mbalimbali nchini kwa ajili ya utekelezaji wa miradi inayolenga kuchochea shughuli za maendeleo....

 

10 years ago

Michuzi

SEREKALI YA MPONGEZA PROFESA MBWETE KWA KUANZISHA MAKTABA BINAFSI

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (kazi maalum),Prof. Mark Mwandosya akizindua maktaba ya kisasa Binafsi iliyo anzishwa na Prof. Toli Mbwete nyumbani kwake Mavurunza B. anaye shuhudia uzinduzi huo ni Mama Halima Mbwete. Waziri Mwandosya amewataka wasomi hasa maprofesa kuiga mfano wa mwenzao ilikuweza kukuza elimu hapa nchini.Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (kazi maalum),Prof. Mark Mwandosya akisalimiana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu huria wa kwanza kilipo anzishwa,Prof. Jofrey Mmari walipo kutana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani