SEREKALI YA MPONGEZA PROFESA MBWETE KWA KUANZISHA MAKTABA BINAFSI
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (kazi maalum),Prof. Mark Mwandosya akizindua maktaba ya kisasa Binafsi iliyo anzishwa na Prof. Toli Mbwete nyumbani kwake Mavurunza B. anaye shuhudia uzinduzi huo ni Mama Halima Mbwete. Waziri Mwandosya amewataka wasomi hasa maprofesa kuiga mfano wa mwenzao ilikuweza kukuza elimu hapa nchini.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (kazi maalum),Prof. Mark Mwandosya akisalimiana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu huria wa kwanza kilipo anzishwa,Prof. Jofrey Mmari walipo kutana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV18 Dec
Serikali yashauriwa kuanzisha benki kwa waajiriwa binafsi ya mikopo
Serikali imeshauriwa kuanzisha benki ya Vijana ambayo itatoa mikopo kwa vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi pamoja na wasomi mbalimbali wanaotaka kujiajiri wenyewe.
Kukosekana kwa benki hiyo na taasisi za kifedha zinazohudumia vijana kunatajwa kuwa miongoni mwa changamoto inayodumaza hali ya uchumi wa Taifa kutokana na asilimia kubwa ya nguvu kazi ya vijana kutotumika ipasavyo baada ya vijana wengi kukosa ajira katika sekta rasmi.
Asilimia kubwa ya vijana kwa sasa tatizo lao si elimu –...
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Kinana mpongeza Mbunge Lekule kwa uamuzi wake wa kutogombea tena
*Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha alia na watendaji wa serikali,asema ndio wanakiumiza chama
*Nape awapongeza wana CCM wilaya ya Longido kwa mshikamano na kuipa ushindi CCM kwenye Chaguzi
![](http://4.bp.blogspot.com/-0wS_JnWWkOM/VQiC692bM_I/AAAAAAAAYPI/b6q45iVLanA/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Longido Ndugu Michael Lekule Laizer mara baada ya kuwasili kwenye kijiji cha Engikareti mpakani mwa wilaya ya Arumeru na Longido.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PpGF5-TAg3Q/VQiMVsU9R8I/AAAAAAAAYRg/Xn3uUwIAXhk/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza wimbo maalum kutoka kwa wenyeji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HkUMaFvMFjI/Xn4uN9KeomI/AAAAAAALlWU/1lu9dffBAqUuKAhgX4o4ij8x415067UFwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
RIPOTI YA CAG YAWAIBUA CUF, PROFESA LIPUMBA AAMUA KUTOA UFAFANUZI WA FEDHA ZA RUZUKU MILIONI 300 ZILIZOHAMISHIWA AKAUNTI BINAFSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HkUMaFvMFjI/Xn4uN9KeomI/AAAAAAALlWU/1lu9dffBAqUuKAhgX4o4ij8x415067UFwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
SIKU moja ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kukabidhi ripoti ya ukaguzi wake ya 2018/19 kwa Rais John Magufuli , Chama cha Wananchi( CUF) kimeamua kujitetea baada ya ripoti hiyo kubaibainisha Chama hicho kilihamisha kwa fedha kutoka akaunti ya Chama hicho kwenda akaunti binafsi.
Akizungumza leo Machi 27,2020 ,Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba ametumia nafasi hiyo kuwaeleza waandishi wa habari hatua...
10 years ago
Dewji Blog15 Apr
COMNETA wampongeza Prof. Mbwete
Mwenyekiti wa mtandao wa Redio Jamii nchini (COMNETA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Redio ya Jamii ya Wilayani Karagwe ya FADECO FM, Bw.Joseph Sekiku akizungumza katika hafla fupi ya kumuaga Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) ambaye amemaliza muda wake, Prof. Tolly Mbwete (katikati) iliyoandaliwa na Mtandao wa Redio za Jamii nchini (COMNETA). Kushoto ni Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu.
Katibu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mEdML1aFatE/VTjLR9ysxSI/AAAAAAAAOoU/_Pf2jROvUm0/s72-c/20150422_125128.jpg)
SEREKALI YAONYA WANAOTOROSHA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-mEdML1aFatE/VTjLR9ysxSI/AAAAAAAAOoU/_Pf2jROvUm0/s640/20150422_125128.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n_Ue-gGR_o8/VTjLbT0JFuI/AAAAAAAAOoc/HMqGbwj3wis/s640/20150422_125009.jpg)
Katika kudhibiti biashara hiyo, serikali kwa kushirikiana na kituo cha mikutano cha Arusha(AICC) inakusudia kuanzisha kituo cha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2CwsJZmRutw/U14u_xkj8_I/AAAAAAAFdr8/CjIOWKF9nqk/s72-c/unnamed+(15).jpg)
JK akabidhi vitabu kwa maktaba Jeshini
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y-Y9ifUGtHo/U9ARugrHlKI/AAAAAAAF5R0/idyh0jccGuU/s72-c/unnamed+(23).jpg)
WAKUSUDIA KUSAMBAZA HUDUMA YA MAKTABA KWA WENGI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e048PTLFYM9iAjt2*Ci0q3jDxzRT5Of7V7pUnEJ8-LucrT3pGczMCmSOEi6OnQ4NRGKw*tlX3IkQE9LCVyh*ubWDZv16VbsZ/breakingnews.gif)
MWANASHERIA MKUU WA SEREKALI, JAJI WEREMA AJIUZULU