Kinana mpongeza Mbunge Lekule kwa uamuzi wake wa kutogombea tena
*Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha alia na watendaji wa serikali,asema ndio wanakiumiza chama
*Nape awapongeza wana CCM wilaya ya Longido kwa mshikamano na kuipa ushindi CCM kwenye Chaguzi
![](http://4.bp.blogspot.com/-0wS_JnWWkOM/VQiC692bM_I/AAAAAAAAYPI/b6q45iVLanA/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Longido Ndugu Michael Lekule Laizer mara baada ya kuwasili kwenye kijiji cha Engikareti mpakani mwa wilaya ya Arumeru na Longido.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PpGF5-TAg3Q/VQiMVsU9R8I/AAAAAAAAYRg/Xn3uUwIAXhk/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza wimbo maalum kutoka kwa wenyeji...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u8u3TSbJ0Sw/XpW6-80Xm6I/AAAAAAALm7I/zF8bWtC-XXYoVEC0P5oxIZCX62TWI1C9QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B4.09.13%2BPM.jpeg)
MBUNGE CHADEMA ANG'ATUKA, ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-u8u3TSbJ0Sw/XpW6-80Xm6I/AAAAAAALm7I/zF8bWtC-XXYoVEC0P5oxIZCX62TWI1C9QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B4.09.13%2BPM.jpeg)
Mbunge huyo ametangaza kauli hiyo leo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya makadirio ya mapato ya Wizara ya Tamisemi ambapo amewatakia kila heri wabunge wengine.
Tofauti na Komu, Lwakatare yeye hajatangaza kuhamia chama chochote badala yake amesema hatogombea tena katika uchaguzi Mkuu...
10 years ago
StarTV03 Feb
Mbunge wa Nyang’hwale atangaza kutogombea.
Na Wilson Elisha,
Nyang’hwale.
Kutovunjwa kwa makambi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika chaguzi mbalimbali nchini ni moja ya sababu zinazochangia kurudisha nyuma maendeleo yanayokusudiwa kufanyika.
Hali hii imemlazimu Mbunge wa Jimbo la Nyang’hwale mkoani Geita Mheshimiwa Hussein Kasu kutangaza rasmi kutogombea nafsi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao na kutaka juhudi za makusudi zifanyike kuondaa makambi vinginevyo yataendelea kukitafuna chama hicho.
Kauli ya mbunge wa Jimbo la...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XvguWTorEO0/U3FkodqY4yI/AAAAAAACg1o/9oyN_oTN828/s72-c/17.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AMNUSURU MBUNGE WA IGALULA MFUTAKAMBA BAADA YA WANANCHI WAKE KUMJIA JUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XvguWTorEO0/U3FkodqY4yI/AAAAAAACg1o/9oyN_oTN828/s1600/17.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zjXSzjavcN4/U3FlBpBd4qI/AAAAAAACg1w/4malVZZnLic/s1600/18.jpg)
10 years ago
MichuziSEREKALI YA MPONGEZA PROFESA MBWETE KWA KUANZISHA MAKTABA BINAFSI
10 years ago
Vijimambo05 Jan
10 years ago
GPLMBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA
10 years ago
StarTV02 Dec
Mbunge amchongea Waziri Mkuu Pinda kwa Kinana.
Na Joseph Mpangala, Mtwara.
Mbunge wa Mtwara Mjini Hasnain Murji amemlalamikia Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa kushindwa kutoa kibali cha kuruhusu ulipaji wa fidia katika viwanja vya wakazi wa Mtwara ambavyo tayari vimepimwa na pesa kutoka Manispaa hiyo ipo tayari kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
Murji amesema amekutana na Waziri Mkuu mara tano lakini amekuwa akizungushwa kupata kibali jambo linalochangia ucheleweshwaji wa maendeleo ya ujenzi wa nyumba kwa wakazi wa maeneo...
5 years ago
MichuziMBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...
11 years ago
Habarileo24 Jan
Mbunge- Nitaheshimu uamuzi wa wananchi
MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amesema kurudi kwake bungeni katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kutategemea maamuzi ya wapiga kura wa Jimbo la Iringa Mjini. Akihojiwa na Redio Nuru FM hivi karibuni Mchungaji Msigwa alisema “ kurudi kwangu bungeni kutategemea maamuzi ya wananchi na nitaheshimu uamuzi wao.”