Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge- Nitaheshimu uamuzi wa wananchi

MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amesema kurudi kwake bungeni katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kutategemea maamuzi ya wapiga kura wa Jimbo la Iringa Mjini. Akihojiwa na Redio Nuru FM hivi karibuni Mchungaji Msigwa alisema “ kurudi kwangu bungeni kutategemea maamuzi ya wananchi na nitaheshimu uamuzi wao.”

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kinana mpongeza Mbunge Lekule kwa uamuzi wake wa kutogombea tena

*Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha alia na watendaji wa serikali,asema ndio wanakiumiza chama

*Nape awapongeza wana CCM wilaya ya Longido kwa mshikamano na kuipa ushindi CCM kwenye Chaguzi

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Longido Ndugu Michael Lekule Laizer mara baada ya kuwasili kwenye kijiji cha Engikareti mpakani mwa wilaya ya Arumeru na Longido.

  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza wimbo maalum kutoka kwa wenyeji...

 

9 years ago

CCM Blog

MBUNGE AYSHAROSE AUNGA MKONO UAMUZI WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU MWAKA HUU

MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema Rais Dk. John Magufuli ni kiongozi mwenye kujali maslahi ya Watanzania hivyo maamuzi ya kuwataka wananchi kusherehekea kumbukumbu ya Uhuru kwa kufanya kazi na usafi, umeonyesha dhamira safi ya kiongozi huyo kwa wananchi.

Amesema, uamuzi huo umejali maslahi ya taifa kwa sababu fedha nyingi zingetumika kwenye masuala yasiyokuwa na ulazima kwa wananchi.

Pia, ametoa rai kwa watumishi na viongozi wenzake wa serikali kufanyakazi kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Maalim Seif: Nitaheshimu matokeo uchaguzi mkuu

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar, huku akisema endapo akishindwa kuibuka mshindi, ataheshimu matokeo na kumpongeza atakayeshinda.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi waumbua Mbunge, Diwani

MBUNGE wa Korogwe Mjini, Yusuf Nasir na Diwani wa kata ya Manundu, Robert Bago juzi walionja joto ya uongozi baada ya kuumbuliwa na wananchi kwenye mkutano wa hadhara mbele ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana.

 

10 years ago

GPL

MUHEZA WANANCHI: AHADI NYINGI ZA MBUNGE NI HEWA

Mheshimiwa Hebert Mtangi kushoto akiwa kazini. Stori: Abdallah Juma, Muheza
Muheza ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Tanga. Kwa upande wa Kaskazini, Muheza inapakana na nchi ya Kenya, upande wa Mashariki kuna Jiji la Tanga na Bahari ya Hindi, Kusini inapakana na Wilaya ya Pangani wakati Magharibi kuna wilaya za Lushoto na Korogwe. Pia Muheza ni Jimbo la uchaguzi lenye jumla ya kata 37, likiongozwa na Mheshimiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge aongoza wananchi kujigawia ardhi Arusha

Joshua Nassari MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari juzi aliongoza wapiga kura wake kugawa shamba linalomilikiwa na Chama cha Ushirika mkoani Arusha (ACU), akisema amechoka kuona wananchi wake wakisotea ardhi ilhali kuna maeneo hayaendelezwi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wamshitaki mwenyekiti wao kwa mbunge

WAKAZI wa Kijiji cha Kongogo wilayani hapa mkoani Dodoma, wamemshitaki Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Daudi Husein kwa Mbunge wao, Omar Badwel (CCM), kwa madai ya kujigeuza Mungu mtu katika utendaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani