COMNETA wampongeza Prof. Mbwete
Mwenyekiti wa mtandao wa Redio Jamii nchini (COMNETA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Redio ya Jamii ya Wilayani Karagwe ya FADECO FM, Bw.Joseph Sekiku akizungumza katika hafla fupi ya kumuaga Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) ambaye amemaliza muda wake, Prof. Tolly Mbwete (katikati) iliyoandaliwa na Mtandao wa Redio za Jamii nchini (COMNETA). Kushoto ni Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu.
Katibu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Broadcast Warehouse ya Uingereza kusaidia COMNETA
Mwenyekiti wa mtandao wa vyombo vya habari vya kijamii Tanzania (COMNETA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa redio FADECO ya wilayani Karagwe, Bw. Joseph Sekiku, akimtambulisha mgeni kutoka nchini Uingereza kwa wamiliki wa redio za jamii katika mkutano uliojadili masuala ya kiufundi uliofanyika mwishoni mwa juma Chuo kikuu huria.(Picha zote na Zainul Mzige).
Na Mwandishi wetu
Kampuni Broadcast warehouse ya Uingereza imesema ipo tayari kusaidia radio za jamii ambazo kwa sasa zinakabiliwa na...
10 years ago
MichuziSEREKALI YA MPONGEZA PROFESA MBWETE KWA KUANZISHA MAKTABA BINAFSI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
9 years ago
Habarileo18 Sep
Mwanza wampongeza JK
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa kimempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kulitumikia taifa kwa uaminifu na uadilifu. Katibu wa CCM mkoani hapa, Miraji Mtaturu alitoa pongezi hizo jana wakati akielezea mafanikio yaliyofikiwa na serikali ya awamu ya nne chini ya uongozi wake.
9 years ago
Habarileo24 Sep
Marekani wampongeza Kikwete
VIONGOZI wa Marekani wamemmwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa ujenzi na ulezi wa demokrasia, heshima kwa haki za binadamu na zaidi ya yote uheshimu wa Katiba, ambao unamwezesha kuondoka madarakani kwa mujibu wa Katiba na kukabidhi madaraka kwa Rais ajaye kwa hiari na kwa amani.
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Ngumi wampongeza Waziri Membe
SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT), limempongeza Waziri wa Mambo Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kwa hatua na jitihada alizozifanya za kutafuta na kufanikisha kambi ya mazoezi kwa timu...
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Wazee wa Chadema wampongeza Kingunge
9 years ago
Habarileo09 Nov
Wachimbaji wadogo wampongeza Magufuli
WACHIMBAJI wadogo wa madini ya tanzanite mkoani hapa na Manyara wamempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumwomba afute vibali vyote vya wafanyabiashara kutoka India wanaoingia nchini kununua madini hayo.