Ngumi wampongeza Waziri Membe
SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT), limempongeza Waziri wa Mambo Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kwa hatua na jitihada alizozifanya za kutafuta na kufanikisha kambi ya mazoezi kwa timu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRT WAMPONGEZA WAZIRI MEMBE KWA KUUNGA MKONO KUENDELEZA RIADHA TANZANIA
Na John Nditi, Morogoro
RAIS wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka amemshukuru Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kwa kuanzisha diplomasia ya michezo na nchi za nje pamoja na kufadhili maandalizi ya wanariadha 40 na makocha sita.
Wanamichezo na makocha hao wanapelekwa nje kwa ajili ya...
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UTURUKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ni1pOCskZGQ/VQlA56fZpYI/AAAAAAAAb0w/LibTwif6kb8/s72-c/AAAA%2B3034.jpg)
Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete kwenye hafla ya kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho
![](http://3.bp.blogspot.com/-ni1pOCskZGQ/VQlA56fZpYI/AAAAAAAAb0w/LibTwif6kb8/s1600/AAAA%2B3034.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XVc4SJ4l_MY/VQlCeDZ2OYI/AAAAAAAAb1Y/Hl2ThUch93E/s1600/AAAA%2B3151.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vD_sslSn6pw/XuOB6gbEa5I/AAAAAAALtmE/3AVdiiCBAVgd9cxTM83TM8gMiEHElhlnQCLcBGAsYHQ/s72-c/ummy.jpg)
VIONGOZI WA TANCDA WAMPONGEZA WAZIRI WA AFYA KUKEMEA MATUMIZI YA TUMBAKU KWA KUWA NI HATARI
VIONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA)limeamua kutoa pongezi kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kwa hatua yake ya kukemea matumizi ya tumbaku kwa kuwa ni hatari kwa afya.
Kwa mujibu wa TANCDA ni kwamba tamko la Waziri Ummy Mwalimu linaonesha namna ambavyo Serikali ya Awamu ya Tano inavyojali afya za Watanzania, lakini pia kulinda maslahi ya kiuchumi na kijamii.Waziri wakati akizindua Ripoti...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Video: Waziri mkuu wa Hispania alivyopigwa ngumi katikati ya kampeni, tukio la pili ndani ya wiki
Siku zinahesabika toka Waziri mkuu wa Ukraine alipobebwa juujuu akiwa bungeni, aliyembeba alijifanya kama anampelekea ua alafu baada ya kufika akambeba juujuu kabla hajashambuliwa kwa kipigo na baadhi ya waliokuwemo bungeni, sasa December 16 2015 habari ya zamu ya Waziri mkuu wa Hispania. Waziri mkuu wa Hispania Mariano Rajoy alipigwa ngumi usoni na kijana ambaye alikua […]
The post Video: Waziri mkuu wa Hispania alivyopigwa ngumi katikati ya kampeni, tukio la pili ndani ya wiki appeared...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LAAbt2lA6-I/VS9ksppWfUI/AAAAAAADifg/jykZR_W0IUw/s72-c/Kuwait%2BArrival%2B1_1.jpg)
WAZIRI MEMBE ALIPOWASILI KUWAIT
![](http://2.bp.blogspot.com/-LAAbt2lA6-I/VS9ksppWfUI/AAAAAAADifg/jykZR_W0IUw/s1600/Kuwait%2BArrival%2B1_1.jpg)
Msafara wa Mhe. Membe ukitokea airport kuelekea hotelini ambapo atakaa kwa siku leo tarehe 14-15 Aprili 2015 (usiku) moja kabla ya kuelekea Oman kuendelea na ziara yake.
![](http://4.bp.blogspot.com/-dQZGDFzq70o/VS9ktt7YodI/AAAAAAADif4/eyTjc_LlP4U/s1600/Kuwait%2BArrival%2B3.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9iHcTtZnabU/VS9kutQBreI/AAAAAAADigA/cmCheSS1ilE/s1600/Kuwait%2BArrival%2B4.jpeg)
Waziri Membe...
9 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWAHUSIA MABALOZI WA TANZANIA
10 years ago
MichuziWaziri Membe amuaga Balozi wa Qatar
10 years ago
Dewji Blog08 Feb
Waziri Membe alipongeza Kanisa la SDA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe akifanya mazungumzo na Rais wa Baraza Kuu la Makanisa ya Sabato Duniani Askofu Ted Wilson wakati wa siku ya ufungaji wa Kongamano hilo lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam siku ya tarehe 7 Februari, 2015.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dar es Salaam.
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe amelipongeza Kanisa la Wasabato (SDA) kwa kuwa mfano mzuri wa ustahimilivu, uvumilivu wa...