Mwanza wampongeza JK
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa kimempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kulitumikia taifa kwa uaminifu na uadilifu. Katibu wa CCM mkoani hapa, Miraji Mtaturu alitoa pongezi hizo jana wakati akielezea mafanikio yaliyofikiwa na serikali ya awamu ya nne chini ya uongozi wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Sep
Marekani wampongeza Kikwete
VIONGOZI wa Marekani wamemmwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa ujenzi na ulezi wa demokrasia, heshima kwa haki za binadamu na zaidi ya yote uheshimu wa Katiba, ambao unamwezesha kuondoka madarakani kwa mujibu wa Katiba na kukabidhi madaraka kwa Rais ajaye kwa hiari na kwa amani.
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Ngumi wampongeza Waziri Membe
SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT), limempongeza Waziri wa Mambo Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kwa hatua na jitihada alizozifanya za kutafuta na kufanikisha kambi ya mazoezi kwa timu...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Wanahabari za kodi wampongeza Utouh
CHAMA cha Waandishi wa Kodi Tanzania (TAWNET), kimempongeza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, kwa kustaafu utumishi wa umma kwa heshima kubwa huku akiacha mfano...
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Wazee wa Chadema wampongeza Kingunge
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Wakulima, wafugaji wampongeza Kamani
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amepokewa na ujumbe mzito kutoka kwa Chama cha Wavuvi na Wafugaji waliofika mkoani hapa. Dk. Kamani juzi alifanyiwa sherehe za...
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Upinzani wampongeza Netanyahu Israel
10 years ago
Dewji Blog15 Apr
COMNETA wampongeza Prof. Mbwete
Mwenyekiti wa mtandao wa Redio Jamii nchini (COMNETA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Redio ya Jamii ya Wilayani Karagwe ya FADECO FM, Bw.Joseph Sekiku akizungumza katika hafla fupi ya kumuaga Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) ambaye amemaliza muda wake, Prof. Tolly Mbwete (katikati) iliyoandaliwa na Mtandao wa Redio za Jamii nchini (COMNETA). Kushoto ni Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu.
Katibu...
9 years ago
Habarileo09 Nov
Wachimbaji wadogo wampongeza Magufuli
WACHIMBAJI wadogo wa madini ya tanzanite mkoani hapa na Manyara wamempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumwomba afute vibali vyote vya wafanyabiashara kutoka India wanaoingia nchini kununua madini hayo.
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Wafugaji wampongeza Jaji Warioba
MAKUNDI mbalimbali hususan ya wafugaji yamempongeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kwa kutaka kundi la wafugaji litambuliwe kikatiba. Mmoja wa wafugaji aliyezungumza na Tanzania Daima,...