Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanza wampongeza JK

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa kimempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kulitumikia taifa kwa uaminifu na uadilifu. Katibu wa CCM mkoani hapa, Miraji Mtaturu alitoa pongezi hizo jana wakati akielezea mafanikio yaliyofikiwa na serikali ya awamu ya nne chini ya uongozi wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Marekani wampongeza Kikwete

VIONGOZI wa Marekani wamemmwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa ujenzi na ulezi wa demokrasia, heshima kwa haki za binadamu na zaidi ya yote uheshimu wa Katiba, ambao unamwezesha kuondoka madarakani kwa mujibu wa Katiba na kukabidhi madaraka kwa Rais ajaye kwa hiari na kwa amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngumi wampongeza Waziri Membe

SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT), limempongeza Waziri wa Mambo Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kwa hatua na jitihada alizozifanya za kutafuta na kufanikisha kambi ya mazoezi kwa timu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanahabari za kodi wampongeza Utouh

CHAMA cha Waandishi wa Kodi Tanzania (TAWNET), kimempongeza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, kwa kustaafu utumishi wa umma kwa heshima kubwa huku akiacha mfano...

 

9 years ago

Mwananchi

Wazee wa Chadema wampongeza Kingunge

Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limempongeza Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kwa kuachana na Chama cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na upande wa mabadiliko kikisema ni jambo la kuigwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima, wafugaji wampongeza Kamani

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amepokewa na ujumbe mzito kutoka kwa Chama cha Wavuvi na Wafugaji waliofika mkoani hapa. Dk. Kamani juzi alifanyiwa sherehe za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani wampongeza Netanyahu Israel

Kiongozi wa upinzani nchini Israeli Yitzhak Hertzog amempongeza Benjamin Netanyahu kwa ushindi wake katika uchaguzi wa ubunge

 

10 years ago

Dewji Blog

COMNETA wampongeza Prof. Mbwete

DSC_0348

 Mwenyekiti wa mtandao wa Redio Jamii nchini (COMNETA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Redio ya Jamii ya Wilayani Karagwe ya FADECO FM, Bw.Joseph Sekiku akizungumza katika hafla fupi ya kumuaga Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) ambaye amemaliza muda wake, Prof. Tolly Mbwete (katikati) iliyoandaliwa na Mtandao wa Redio za Jamii nchini (COMNETA). Kushoto ni Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu.

DSC_0359

Katibu...

 

9 years ago

Habarileo

Wachimbaji wadogo wampongeza Magufuli

WACHIMBAJI wadogo wa madini ya tanzanite mkoani hapa na Manyara wamempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumwomba afute vibali vyote vya wafanyabiashara kutoka India wanaoingia nchini kununua madini hayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wampongeza Jaji Warioba

MAKUNDI mbalimbali hususan ya wafugaji yamempongeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kwa kutaka kundi la wafugaji litambuliwe kikatiba. Mmoja wa wafugaji aliyezungumza na Tanzania Daima,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani