Marekani wampongeza Kikwete
VIONGOZI wa Marekani wamemmwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa ujenzi na ulezi wa demokrasia, heshima kwa haki za binadamu na zaidi ya yote uheshimu wa Katiba, ambao unamwezesha kuondoka madarakani kwa mujibu wa Katiba na kukabidhi madaraka kwa Rais ajaye kwa hiari na kwa amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Mar
LUDEWA WAMPONGEZA RAIS DKT JAKAYA KIKWETE
Rais Dr Kikwete Na Francis Godwin Blog WANANCHI wa Ludewa mkoani Njombe wamempongeza Rais Dr Jakaya Kikwete kwa hatua yake ya kuwashirikisha wananchi wa maeneo husika katika suala la utatuzi wa mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi
Hatua ya wananchi hao kumpongeza Rais Dr Kikwete imekuja huku ikiwa ni siku tatu zimepita toka mbunge wao wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe ,mbunge wa jimbo la Kyela Dk. Harrison Mwakyembe na mbunge wa jimbo la...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3ubN1TozjV0/VJpSZz4amBI/AAAAAAACUx0/jnhKu1-cu9o/s72-c/1003405_651211694942828_1901901229_n.jpg)
UVCCM WAMPONGEZA MHE RAIS JAKAYA KIKWETE KWA HOTUBA YENYE UFAFANUZI WA KUJITOSHELEZA KUHUSU ESCROW
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ubN1TozjV0/VJpSZz4amBI/AAAAAAACUx0/jnhKu1-cu9o/s1600/1003405_651211694942828_1901901229_n.jpg)
Sisi Vijana tunampongeza kwa kubariki na...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Rais Kikwete aenda Marekani
Rais Jakaya Kikwete ameondoka Jumatatu usiku kwenda Marekani kuanza ziara ya wiki mbili nchini humo.
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Kikwete afanyiwa upasuaji Marekani
>Rais, Jakaya Kikwete amefanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani.
9 years ago
VijimamboRais Kikwete Apewa Tuzo Marekani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s72-c/New%2BPicture%2B(2).bmp)
RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s1600/New%2BPicture%2B(2).bmp)
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s72-c/us%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA NCHINI MAREKANI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s640/us%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4MPcBy5ONx8/VFu5Cd0GbHI/AAAAAAAGv1w/IeEPc4RQbMM/s640/us%2B(2).jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KUHUDHURIA MKUTANO WA 69 WA UN
Rais Kikwete akiagana na viongozi mbalimbali waliofika kumuaga katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Septemba 15, 2014. Kushoto ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania