JK akabidhi vitabu kwa maktaba Jeshini
![](http://1.bp.blogspot.com/-2CwsJZmRutw/U14u_xkj8_I/AAAAAAAFdr8/CjIOWKF9nqk/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo katika Ikulu ya Dar es Salaam amekabidhi vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya vyuo vya Jeshi ili kuongeza taaluma. Rais amekabidhi vitabu hivyo kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange na kuahidi kuendelea kutafuta vitabu zaidi kwa ajili ya kuboresha Maktaba ya Jeshi iliyopo katika Chuo Cha Kijeshi kilichopo Monduli, Mkoani Arusha. Maktaba hiyo ilianzishwa na Mheshimiwa Rais wakati alipokuwa mkufunzi katika chuo hicho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog12 May
THT yatoa vitabu kwa maktaba ya walemavu wa ngozi Kanda ya Ziwa
Mlezi wa Umoja wa Wake wa Viongozi Tanzania, Mama Tunu Pinda, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupokea msaada wa vitabu kutoka Tanzania House of Talent. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Umoja huo, Mama Germina Lukuvi na kulia kwake ni Meneja Mkuu wa Tanzania House of Talent, Mwita Mwaikenda.
Mwakilishi wa Kampuni ya Opportunity Education akikabidhi vitabu kwa Mama Tunu Pinda.
Nyumba ya vipaji Tanzania (THT) imetoa vitabu vya Sayansi, Sanaa na Hesabu kwa maktaba ya walemavu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2468Z1IOr9w/VK_yJzPVoHI/AAAAAAAG8R4/-8h3x35UKUU/s72-c/jb%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU 201 KWA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI, AAGANA NA MABALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA NA RWANDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2468Z1IOr9w/VK_yJzPVoHI/AAAAAAAG8R4/-8h3x35UKUU/s1600/jb%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E4LBR5D46jQ/VK_yKYgy1NI/AAAAAAAG8R8/yLVR964snzY/s1600/jb%2B(2).jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Miss Ilala 2013 Doris Mollel akabidhi vitabu 50 shule ya msingi Pugu Dar
Miss Ilala 2013, Doris Mollel ijumaa ya wiki iliyopita alitembelea shule ya msingi Pugu jijini Dar es Salaam na kukabidhi vitabu 50 za hadithi kwa wanafunzi wa shule hiyo katika harakati zake binafsi za kuwajengea wanafunzi na watoto utamaduni na tabia ya kujisomea kwenye umri mdogo.
Miss Ilala huyo wa mwaka 2013 alitumia nafasi hiyo kuwahamasisha wanafunzi kujisomea kama ufunguo wa maisha yao ya baadaye.
Miss Ilala 2013, Doris Mollel, akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembea shule...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA(NATIONAL DEFENCE COLLEGE)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LJzf6SHcIf8/UxOUclREtwI/AAAAAAAFQnY/WoJ0v18VwP8/s1600/3.jpg)
10 years ago
MichuziMTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE
11 years ago
Dewji Blog06 May
Toeni kwa wakati vitabu vya makadirio ya bajeti kwa wabunge
Toeni Kwa Wakati Vitabu Vya Makadirio… by moblog
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y-Y9ifUGtHo/U9ARugrHlKI/AAAAAAAF5R0/idyh0jccGuU/s72-c/unnamed+(23).jpg)
WAKUSUDIA KUSAMBAZA HUDUMA YA MAKTABA KWA WENGI
10 years ago
MichuziJK apokea vitabu vya sayansi kwa shule za Sekondari vilivyochapishwa kwa msaada wa watu wa marekani