WAKUSUDIA KUSAMBAZA HUDUMA YA MAKTABA KWA WENGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y-Y9ifUGtHo/U9ARugrHlKI/AAAAAAAF5R0/idyh0jccGuU/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Baada ya kuridhishwa na matumizi mazuri na mafanikio makubwa ya Maktaba yao ya kwanza waliyoifungua mwaka 2009 katika kijiji cha Ngongongare Mkoani Arusha, Taasisis isiyo ya kiserikali ya The Crawford Smith Foundation yenye makazi yake nchini Marekani na ambayo ndiyo inayosimamia mradi wa uanzishwa na uendeshaji wa Maktaba hususani katika maeneo ya vijijini, sasa inakusudia kujenga maktaba nyingine sita katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Maktaba hiyo ya kwanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hVWCzik_Sg0/VIBvd5XykVI/AAAAAAAG1Ro/dByxP8Zr2D0/s72-c/001.CHALINZE%2B%2BMEDIA.jpg)
MBUNGE WA CHALINZE ATOA WITO KWA MAKAMBUNI YA MAWASILIANO KUSAMBAZA HUDUMA KWA WATEJA WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-hVWCzik_Sg0/VIBvd5XykVI/AAAAAAAG1Ro/dByxP8Zr2D0/s1600/001.CHALINZE%2B%2BMEDIA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mfQsFKDwG0I/VIBvd2T99mI/AAAAAAAG1Rk/7uD7fZKY6QY/s1600/002.CHALINZE%2BMEDIA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zYBVQBdr3skIgqcwM--jdmipehh4JSPDTEN2xI-TDCU3eDyqOXgl4tQpN33S1JLJtjGYEXq1Y7aUA-q7B2si*by/1001.CHALINZEMEDIA.jpg?width=650)
MBUNGE WA CHALINZE ATOA WITO KWA MAKAMPUNI YA MAWASILIANO KUSAMBAZA HUDUMA KWA WATEJA WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qvT8WTokz6fHyseedSUXVx3zZM6bZhOqLRYa6oGVi6KOvMdP9RsqjEd*Mg-yotyQny69z2XwIhXB1-yOT5r-elkO3HgLHiZv/001.MBAGALA.jpg?width=650)
MKUU WA WILAYA TEMEKE ASHAURI VODACOM KUSAMBAZA ZAIDI HUDUMA KWA WATEJA WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoal5qApXAcRLxIRwBk9cbdicYQcTlHk96r99kWK5Yi83ef-MBjMYfeQRIuThf3u3WD*nGvqvP-z3JpTEho86Ntu/001.KOROGWE.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KOROGWE ATOA WITO KWA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSAMBAZA ZAIDI HUDUMA ZAO WILAYANI HUMO
10 years ago
Vijimambo10 Dec
MKUU WA WILAYA YA KOROGWE ATOA WITO KWA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSAMBAZA ZAIDI HUDUMA ZAO WILAYANI HUMO
![](http://api.ning.com/files/3WL4yNYnOoal5qApXAcRLxIRwBk9cbdicYQcTlHk96r99kWK5Yi83ef-MBjMYfeQRIuThf3u3WD*nGvqvP-z3JpTEho86Ntu/001.KOROGWE.jpg)
![](http://api.ning.com/files/3WL4yNYnOoZPt2t6raoQGgRZTh5Jd*DMVW3bLjE-3Vjyrd74VUxEdMkN1pKTK2garK3f3WgkXy6YUugp3N85iDfRuL65E8EZ/002.KOROGWE.jpg)
![](http://api.ning.com/files/3WL4yNYnOoZxzveRSFnNFz5NjoL2RunibiIAi-mF3OZCrY3iyHF*e0mbiPSqDGCOQ4p*WBq6xHu0mm4HJOhuhs0CaStBL5yJ/003.KOROGWE.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Apr
Huduma za maktaba zaimarika Pemba
WANANCHI wa kisiwa cha Pemba wameanza kufaidika na huduma za maktaba zinazopatikana katika kisiwa hicho, ikiwemo wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari.
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Kampuni za mawasiliano zatakiwa kusambaza huduma kwa wateja
MBUNGE wa Chalinze mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete, ameshauri kampuni za mawasiliano kufungua vituo vingi vya utoaji huduma mkoani hapa ili kuwawezesha wateja wao kupata huduma hiyo kwa karibu. Akizungumza wakati...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania imeanzisha masomo ya jioni ya diploma ya ukutubi
Mkuu wa Kitengo cha Mipango kutoka Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania Bw. Comfort Komba akiwaeleza waandishi wa habari(hawapo pichani) Kuhusu mafanikio yaliyofikiwa na Ofisi hiyo ikiwamo ujenzi wa majengo ya chuo cha ukutubi na uhifadhi wa nyaraka kilichopo Bagamoyo na uzinduzi wa maktaba za wilaya za Kibaha, Chunya, Ruangwa, Ngara, Rulenge, Masasi na Mbulu, wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bi. Georgina Misama.
Na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s72-c/3.jpg)
MKOA WA DODOMA WASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6FuQXhXJDk0/UzwqgRW5BXI/AAAAAAAAoME/wP1iNRYPkBw/s1600/4.jpg)