Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania imeanzisha masomo ya jioni ya diploma ya ukutubi
Mkuu wa Kitengo cha Mipango kutoka Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania Bw. Comfort Komba akiwaeleza waandishi wa habari(hawapo pichani) Kuhusu mafanikio yaliyofikiwa na Ofisi hiyo ikiwamo ujenzi wa majengo ya chuo cha ukutubi na uhifadhi wa nyaraka kilichopo Bagamoyo na uzinduzi wa maktaba za wilaya za Kibaha, Chunya, Ruangwa, Ngara, Rulenge, Masasi na Mbulu, wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bi. Georgina Misama.
Na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s72-c/3.jpg)
MKOA WA DODOMA WASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6FuQXhXJDk0/UzwqgRW5BXI/AAAAAAAAoME/wP1iNRYPkBw/s1600/4.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-x-ztBoTMjNQ/Uzwqey87GKI/AAAAAAAAoL0/ea-0EswdmBc/s1600/2.jpg)
MKOA WA DODOMA ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI MKOANI DODOMA
9 years ago
Habarileo08 Nov
Bodi ya Maktaba yaja na mradi wa kujenga uwezo
BODI ya Huduma za Maktaba (TLSB) imeanzisha mradi wa maktaba kwa maendeleo wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 630 ili kuzijengea uwezo kwa kuzifikia kada mbalimbali kwenye jamii.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Masomo ya jioni ni fursa nzuri kwa wanaojiendeleza
10 years ago
Habarileo08 Apr
Huduma za maktaba zaimarika Pemba
WANANCHI wa kisiwa cha Pemba wameanza kufaidika na huduma za maktaba zinazopatikana katika kisiwa hicho, ikiwemo wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y-Y9ifUGtHo/U9ARugrHlKI/AAAAAAAF5R0/idyh0jccGuU/s72-c/unnamed+(23).jpg)
WAKUSUDIA KUSAMBAZA HUDUMA YA MAKTABA KWA WENGI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s72-c/1028.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s1600/1028.jpg)
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009 (Sura ya 203 ya...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA 14 WA WATAALAM WA HUDUMA ZA HABARI NA MAKTABA ZA AFYA AFRIKA (AHILA) JIJINI DAR