Bodi ya Maktaba yaja na mradi wa kujenga uwezo
BODI ya Huduma za Maktaba (TLSB) imeanzisha mradi wa maktaba kwa maendeleo wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 630 ili kuzijengea uwezo kwa kuzifikia kada mbalimbali kwenye jamii.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Barakah Da Prince kujenga maktaba
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’, ameamua kurudisha fadhila kwa kujenga maktaba ya kisasa, katika shule ya msingi aliyowahi kusoma inayoitwa Pamba iliyopo mkoani Mwanza.
Barakah alisema atatoa sehemu ya fedha zake zinazotokana na kazi yake ya muziki kwa ajili ya ujenzi wa maktaba hiyo na pia atafanya marekebisho madogo madogo kwenye majengo ya shule hiyo.
“Nimepata mafanikio kwenye muziki japo si mengi lakini nilichonacho nitakipeleka...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Taasisi ya Marekani kujenga maktaba sita nchini
11 years ago
Habarileo18 Feb
Sensa ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi yaja
WANANCHi wa Mkoa wa Kusini Pemba wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika sensa ya kujua idadi ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4LlsKQSMmWE/VfgIayk7LSI/AAAAAAAH4_c/ocYWeAK5F8c/s72-c/01.jpg)
READ INTERNATIONAL KUJENGA MAKTABA ZA SEKONDARI NYINGI ZAIDI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4LlsKQSMmWE/VfgIayk7LSI/AAAAAAAH4_c/ocYWeAK5F8c/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--ae-wkzGoUM/VfgIaxZwXJI/AAAAAAAH4_Y/jTlTSagBqTA/s640/02.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Bodi Mipango Miji yaja na mkakati uboreshaji
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania imeanzisha masomo ya jioni ya diploma ya ukutubi
Mkuu wa Kitengo cha Mipango kutoka Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania Bw. Comfort Komba akiwaeleza waandishi wa habari(hawapo pichani) Kuhusu mafanikio yaliyofikiwa na Ofisi hiyo ikiwamo ujenzi wa majengo ya chuo cha ukutubi na uhifadhi wa nyaraka kilichopo Bagamoyo na uzinduzi wa maktaba za wilaya za Kibaha, Chunya, Ruangwa, Ngara, Rulenge, Masasi na Mbulu, wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bi. Georgina Misama.
Na...
10 years ago
Bongo527 Nov
Weusi wapanga kujenga maktaba 100 nchini kote ili wanafunzi wajisomee
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s72-c/3.jpg)
MKOA WA DODOMA WASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-pemkGiPUZjU/UzwqevwUKcI/AAAAAAAAoLw/45Dz1ruKXfQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6FuQXhXJDk0/UzwqgRW5BXI/AAAAAAAAoME/wP1iNRYPkBw/s1600/4.jpg)