Taasisi ya Marekani kujenga maktaba sita nchini
Taasisi isiyo ya kiserikali ya The Crawford Smith Foundation ya Marekani, imesema ina mpango wa kujenga maktaba sita nyingine katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
READ INTERNATIONAL KUJENGA MAKTABA ZA SEKONDARI NYINGI ZAIDI NCHINI


10 years ago
Bongo527 Nov
Weusi wapanga kujenga maktaba 100 nchini kote ili wanafunzi wajisomee
10 years ago
Mtanzania22 Oct
Barakah Da Prince kujenga maktaba
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’, ameamua kurudisha fadhila kwa kujenga maktaba ya kisasa, katika shule ya msingi aliyowahi kusoma inayoitwa Pamba iliyopo mkoani Mwanza.
Barakah alisema atatoa sehemu ya fedha zake zinazotokana na kazi yake ya muziki kwa ajili ya ujenzi wa maktaba hiyo na pia atafanya marekebisho madogo madogo kwenye majengo ya shule hiyo.
“Nimepata mafanikio kwenye muziki japo si mengi lakini nilichonacho nitakipeleka...
9 years ago
Habarileo08 Nov
Bodi ya Maktaba yaja na mradi wa kujenga uwezo
BODI ya Huduma za Maktaba (TLSB) imeanzisha mradi wa maktaba kwa maendeleo wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 630 ili kuzijengea uwezo kwa kuzifikia kada mbalimbali kwenye jamii.
10 years ago
GPL
MPANGO WA MAKTABA ZA DIJITALI WAZINDULIWA AFRIKA KUSINI, UMEWEZESHWA NA VODACOM, HUAWEI NA TAASISI YA NELSON MANDELA
11 years ago
Habarileo31 Oct
Serikali kujenga maghala makubwa sita ya chakula
SERIKALI inatarajia kujenga maghala makubwa sita ya kuhifadhia chakula kwa teknolojia ya kisasa baada ya nchi ya Polland kukubali kuikopesha Tanzania fedha za ujenzi wake kwa riba nafuu. Aidha, Serikali inaanza mikakati ya kuhakikisha wakulima nchini wanapata soko la vyakula nchini Omani, baada ya kubainika nchi hiyo inatumia zaidi ya Sh bilioni 30 kununua vyakula katika nchi mbalimbali.
11 years ago
GPLMARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
11 years ago
MichuziMARK CHILDRESS, BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
10 years ago
MichuziTaasisi ya Maendeleo na Usimamizi wa Maji yafanya Mahafali yake ya Sita