Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Weusi wapanga kujenga maktaba 100 nchini kote ili wanafunzi wajisomee

Weusi wanaendelea kufikia ‘Nje ya Box’ kila kukicha. Kundi hilo linatarajia kushirikiana na Watanzania kujenga maktaba 100 katika vijiji mbalimbali vya Tanzania ili kuwahamasisha wanafunzi kujisomea. Msemaji wa kundi hilo, Nick wa Pili ameiambia 255 ya kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa kundi hilo lilikuwa na mpango huo kwa miaka mingi na sasa unakaribia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Taasisi ya Marekani kujenga maktaba sita nchini

Taasisi isiyo ya kiserikali ya The Crawford Smith Foundation ya Marekani, imesema ina mpango wa kujenga maktaba sita nyingine katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.

 

9 years ago

Michuzi

READ INTERNATIONAL KUJENGA MAKTABA ZA SEKONDARI NYINGI ZAIDI NCHINI

  Muasisi wa Shirika lisilo la kiserikali la READ International, Rob Wilson (katikati) akizungumza katikasherehe za miaka 10 ya shirika hilo jijini Dar es Salaam. Wengine ni baadhi ya wanachama wa shirika hilo la kujitolea nchini Tanzania. READ International inatimiza miaka 10 tokea kuanzishwa ikisihirikiana na Realising Education for Development pamoja na wahisani wengine imeweza kusaidia ujenzi wa maktaba 72 na kutoa vitabu zaidi ya milioni 1.4 nchini kote. Mjumbe wa Bodi ya READ...

 

11 years ago

Michuzi

VYUO mbalimbali nchini Vyashauriwa kujenga mahusiano ya kirafiki ili kubadilishana uzoefu katika kufanya kazi zao.

  Mtembeza wageni wa Kanisa la Mkunazini akiwafahamisha kitu wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Utalii kutoka Dar es salam walipokuwa wakitembelea Kanisa hilo.  Wanafunzi wakipata maelezo kwa Mtembeza wageni juu sehemu walipokuwa wakihifadhiwa watumwa Kanisani hapo.  Wanafunzi wakitoka nje kwa furaha mara baada ya kutembelea Kanisa la Mkunazini liliopo Mjini Unguja.   Hapa wanafunzi wakijichagulia katika moja ya maduka ya vinyago na nguo za Kiswahili yaliopo Ngome kongwe Mjini Unguja. 

 

10 years ago

Vijimambo

TALIBAN WAUA WATU 126 WAKIWEMO WANAFUNZI ZAIDI YA 100 NCHINI PAKISTANI

Majeruhi katika shambulio hilo wakipatiwa huduma za kitabibu.Mmoja wa wanafunzi aliyejeruhiwa na Taliban akipatiwa huduma ya kwanza.Majeruhi akipatiwa huduma katika hospitali jijini Peshawar nchini Pakistani.Ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa katika mitaa ya Jiji la Peshawar.Magari ya kubeba wagonjwa wakielekea eneo la tukio.Wananchi wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa mwanafunzi mmoja aliyeuawa na Taliban.Wanajeshi wakiwasili eneo la tukio.
TAKRIBANI watu 126 wameuawa, wakiwemo wanafunzi zaidi...

 

9 years ago

Mtanzania

Barakah Da Prince kujenga maktaba

barakahNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’, ameamua kurudisha fadhila kwa kujenga maktaba ya kisasa, katika shule ya msingi aliyowahi kusoma inayoitwa Pamba iliyopo mkoani Mwanza.

Barakah alisema atatoa sehemu ya fedha zake zinazotokana na kazi yake ya muziki kwa ajili ya ujenzi wa maktaba hiyo na pia atafanya marekebisho madogo madogo kwenye majengo ya shule hiyo.

“Nimepata mafanikio kwenye muziki japo si mengi lakini nilichonacho nitakipeleka...

 

9 years ago

Habarileo

Bodi ya Maktaba yaja na mradi wa kujenga uwezo

BODI ya Huduma za Maktaba (TLSB) imeanzisha mradi wa maktaba kwa maendeleo wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 630 ili kuzijengea uwezo kwa kuzifikia kada mbalimbali kwenye jamii.

 

9 years ago

GPL

TUNATAKA KAMPENI ZA AMANI NCHINI KOTE

Tuanze makala haya kwa kumsifu Mungu, muumba wa vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana katika dunia hii. Hakika tumhimidi daima huku tukimuomba atuzidishie maarifa ya kutambua umoja wetu na amani katika taifa letu. Hivi sasa vyama vya siasa vipo katika kampeni zao kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25. Hili ni zoezi muhimu katika nchi zote zinazoheshimu misingi ya utawala bora na...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wasomi tusijipendekeze kote kote, tutaanguka

Mhadhara huu utajikita kwenye mjadala juu ya mambo ambayo yanafaa kuzungumziwa na kubishaniwa kat

Issa Shivji

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi aagiza upimaji ardhi kote nchini

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameziagiza halmashauri nchini kuharakisha upimaji wa ardhi na mashamba katika maeneo ya wananchi ambao ndio wamiliki wa asili wa maeneo hayo ili kuondoa migogoro ya ardhi inayosababisha wananchi kuichukia Serikali yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani