Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TALIBAN WAUA WATU 126 WAKIWEMO WANAFUNZI ZAIDI YA 100 NCHINI PAKISTANI

Majeruhi katika shambulio hilo wakipatiwa huduma za kitabibu.Mmoja wa wanafunzi aliyejeruhiwa na Taliban akipatiwa huduma ya kwanza.Majeruhi akipatiwa huduma katika hospitali jijini Peshawar nchini Pakistani.Ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa katika mitaa ya Jiji la Peshawar.Magari ya kubeba wagonjwa wakielekea eneo la tukio.Wananchi wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa mwanafunzi mmoja aliyeuawa na Taliban.Wanajeshi wakiwasili eneo la tukio.
TAKRIBANI watu 126 wameuawa, wakiwemo wanafunzi zaidi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TALIBAN WAUA WATU 100 WAKIWEMO WATOTO 84 NCHINI PAKISTANI

Mmoja wa wanafunzi aliyejeruhiwa akipatiwa huduma ya kwanza. Majeruhi akipatiwa huduma katika hospitali jijini Peshawar nchini Pakistani.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Taliban storm Pakistani school, killing 126

1dbcd8044b0d6131680f6a706700623d

Hospital security guards carry a students injured in the shootout at a school under attacked by Taliban gunmen in Peshawar, Pakistan,Tuesday, Dec. 16, 2014. Taliban gunmen stormed a military school in the northwestern Pakistani city, killing and wounding dozens, officials said, in the latest militant violence to hit the already troubled region. (AP Photo/Mohammad Sajjad).

A Pakistani official says the death toll in a Taliban attack on a school in the northwestern city of Peshawar has risen...

 

10 years ago

BBCSwahili

IS waua zaidi ya watu 300 Iraq

Iraq imesema wapiganaji wa Islamic State wameua zaidi ya watu 300 wa madhehebu ya Sunni katika jimbo la Anbar.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua watu 10 nchini Nigeria

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea mjini Bauchi Kaskazini mwa nchi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Taliban waua 46 katika uwanja wa ndege

Watu 46 wakiwemo wanawake na watoto wameuwawa katika shambulio la Taliban, katika uwanja wa ndege wa Kandahar Afghanistan.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano Uingereza: Zaidi ya watu 100 wamekamatwa baada ya kutokea vurugu jijini London

Polisi walivamiwa na waandamanaji, ambao wengine walikuwa wanaharakati wa mrengo wa kulia baada ya maelfu yao waliokuwa wamekusanyika kusema kuwa wanalinda masanamu yasiharibiwe.

 

10 years ago

Bongo5

Weusi wapanga kujenga maktaba 100 nchini kote ili wanafunzi wajisomee

Weusi wanaendelea kufikia ‘Nje ya Box’ kila kukicha. Kundi hilo linatarajia kushirikiana na Watanzania kujenga maktaba 100 katika vijiji mbalimbali vya Tanzania ili kuwahamasisha wanafunzi kujisomea. Msemaji wa kundi hilo, Nick wa Pili ameiambia 255 ya kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa kundi hilo lilikuwa na mpango huo kwa miaka mingi na sasa unakaribia […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Watu zaidi ya 100 wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na crane kwenye msitiki wa Mecca

Takribam watu 107 wamepoteza maisha na wengine 238 kuumia baada ya crane kuanguka kwenye msikiti mkuu wa Mecca, Saudi Arabia. Kwa mujibu wa mashuhuda walioiambia Al Jazeera, crane huyo ilianguka jana mida ya jioni. Mamia ya watu waliojeruhiwa wakipewa huduma ya kwanza Msikiti huo ulikuwa umejaa watu pamoja na kuwa tukio hilo lilotokea kabla ya […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo kuokoa zaidi ya watu 100 katika maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam

Print

Print

Print

Hospitali za Apollo zimekuwa mstari wa mbele kwa teknolojia ya hali ya juu na zinaongoza katika kutoa huduma nafuu za matibabu kwa wagonjwa duniani kote. Apollo wanashiriki kwenye Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwa mara ya kwanza.

Hospitali za Apollo ziko hapa kutangaza huduma wanazotoa na kuongeza uelewa  kuhusu Apollo. Wageni mbalimbali wanaotembelea Saba Saba wanaweza sasa kuelimishwa kuhusu huduma mbalimbali na teknolojia zinazotolewa na Hospitali za Apollo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani