Bodi Mipango Miji yaja na mkakati uboreshaji
Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Mipango Miji nchini, imeanzisha mpango kuhakikisha mipango yote ya maendeleo inahusisha wataalamu wa mipango miji ili miji na vijiji nchini vijengwe katika mfumo ulio bora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
CDA:uboreshaji miji upo kisheria
KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA)Pascas Mragili, amesema suala ya uboreshaji na mipango miji lipo kisheria. Mragili alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akizungumza na wananchi wa maeneo...
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Wamaasai wagomea mipango miji
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Simbachawene alia na mipango miji
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Mipango miji wapiga hodi Jangwani
HATIMAYE wajumbe wa Baraza la Madiwani Manispaa ya Ilala jana walifanya ziara ya uhakiki wa eneo la Jangwani ambalo linamilikiwa na Klabu ya Yanga, mitaa ya Twiga na Jangwani, jijini...
11 years ago
Habarileo09 Jun
Dk Bilal ataka sheria kufuatwa mipango miji
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, ametaka sheria zifuatwe katika upangaji wa miji na majiji nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JfRts1vl810/Xun2XW8f7HI/AAAAAAALuOA/08i3kwqhjK0Y6nbE81qxco-zQ3Wu59eTgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.52.57%2BPM.jpeg)
VIST yaja na mkakati kuzalisha maofisa tabibu mahiri
TAASISI ya Sayansi na Technolojia (VIST) imeahidi kuwanoa maofisa tabibu wenye weledi ili kuongeza nguvu jitihada za serikali za kuwekeza kwenye sekta ya afya.
Kimesema serikali ya awamu ya tano imewekeza kwa kiwango kikubwa kwenye sekta ya afya hivyo wadau binafsi wanawajibika nao kuweka nguvu zao ili kuongeza wataalamu wengi kwenye sekta ya afya.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Naidu Katuri wakati akizungumzia uzinduzi wa chuo hicho kilichopo Mbezi Beach...
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
CDA: Uboreshaji wa miji upo pale pale
KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu (CDA) Pascas Mragili amesema kuwa suala ya uboreshaji wa mjini na mipango miji lipo pale pale kwa kuwa ni jambo la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6vGV49bZLlU/XnJDCQoueyI/AAAAAAALkRM/goTTODmA4cwkgFSc9dz1_JuXbDwpxgiCQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.24.56%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
9 years ago
Habarileo08 Nov
Bodi ya Maktaba yaja na mradi wa kujenga uwezo
BODI ya Huduma za Maktaba (TLSB) imeanzisha mradi wa maktaba kwa maendeleo wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 630 ili kuzijengea uwezo kwa kuzifikia kada mbalimbali kwenye jamii.