Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodi Mipango Miji yaja na mkakati uboreshaji

Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Mipango Miji nchini, imeanzisha mpango kuhakikisha mipango yote ya maendeleo inahusisha wataalamu wa mipango miji ili miji na vijiji nchini vijengwe katika mfumo ulio bora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CDA:uboreshaji miji upo kisheria

KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA)Pascas Mragili, amesema suala ya uboreshaji na mipango miji lipo kisheria. Mragili alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akizungumza na wananchi wa maeneo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wamaasai wagomea mipango miji

Jamii ya wafugaji wa kabila la Wamasai katika Kijiji cha Chamakweza, Kata ya Pera wilayani Bagamoyo wamepinga vikali hatua ya Serikali kuingiza kijiji hicho kwenye mpango wa mipango miji wakati eneo hilo likiwa limetengewa kwa matumizi ya wafugaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Simbachawene alia na mipango miji

>Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene amesema moja kati ya mambo yanayosababisha migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji ni kukosekana kwa viongozi imara wanaofuata sheria kuanzia ngazi ya kijiji hadi halmashauri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mipango miji wapiga hodi Jangwani

HATIMAYE wajumbe wa Baraza la Madiwani Manispaa ya Ilala jana walifanya ziara ya uhakiki wa eneo la Jangwani ambalo linamilikiwa na Klabu ya Yanga, mitaa ya Twiga na Jangwani, jijini...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Bilal ataka sheria kufuatwa mipango miji

MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, ametaka sheria zifuatwe katika upangaji wa miji na majiji nchini.

 

5 years ago

Michuzi

VIST yaja na mkakati kuzalisha maofisa tabibu mahiri

Na Mwandishi Wetu

TAASISI ya Sayansi na Technolojia (VIST) imeahidi kuwanoa maofisa tabibu wenye weledi ili kuongeza nguvu jitihada za serikali za kuwekeza kwenye sekta ya afya.
Kimesema serikali ya awamu ya tano imewekeza kwa kiwango kikubwa kwenye sekta ya afya hivyo wadau binafsi wanawajibika nao kuweka nguvu zao ili kuongeza wataalamu wengi kwenye sekta ya afya.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Naidu Katuri wakati akizungumzia uzinduzi wa chuo hicho kilichopo Mbezi Beach...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CDA: Uboreshaji wa miji upo pale pale

KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu (CDA) Pascas Mragili amesema kuwa suala ya uboreshaji wa mjini na mipango miji lipo pale pale kwa kuwa ni jambo la...

 

5 years ago

Michuzi

JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI

Charles James, Globu ya Jamii
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...

 

9 years ago

Habarileo

Bodi ya Maktaba yaja na mradi wa kujenga uwezo

BODI ya Huduma za Maktaba (TLSB) imeanzisha mradi wa maktaba kwa maendeleo wenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 630 ili kuzijengea uwezo kwa kuzifikia kada mbalimbali kwenye jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani