Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CDA:uboreshaji miji upo kisheria

KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA)Pascas Mragili, amesema suala ya uboreshaji na mipango miji lipo kisheria. Mragili alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akizungumza na wananchi wa maeneo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CDA: Uboreshaji wa miji upo pale pale

KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu (CDA) Pascas Mragili amesema kuwa suala ya uboreshaji wa mjini na mipango miji lipo pale pale kwa kuwa ni jambo la...

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi Mipango Miji yaja na mkakati uboreshaji

Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Mipango Miji nchini, imeanzisha mpango kuhakikisha mipango yote ya maendeleo inahusisha wataalamu wa mipango miji ili miji na vijiji nchini vijengwe katika mfumo ulio bora.

 

11 years ago

Mwananchi

CDA chupuchupu Ligi ya Mabingwa

>Klabu ya soka ya CDA ya Dodoma imenusurika kichapo mbele ya African Sports ya Tanga, huku Kiluvya FC ikiendeleza kugawa pointi katika Ligi ya Mabingwa wa mikoa inayoendelea kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

10 years ago

Habarileo

'CDA inawatesa wananchi, ivunjwe'

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi juzi alipata wakati mgumu kwenye mkutano baada ya wananchi na baadhi ya madiwani kukataa hoja zake mbele ya Rais Jakaya Kikwete. Hatua hiyo ya wananchi, ilikuja baada wa Mbunge wa Dodoma Mjini, David Malole (CCM) kusema Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imekuwa ikifanya maonevu mengi kwa wananchi, ikiwemo kubomoa nyumba, makanisa kutaka ardhi irudi Manispaa.

 

10 years ago

Habarileo

Mbivu, mbichi CDA Septemba 7

Sehemu ya ofisi za CDA mjini Dodoma.RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kuwa na subira wakati suala la mgogoro kati ya Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) na wananchi linashughulikiwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na wadau wa CDA Dodoma

PG4A5275

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) mjini Dodoma Sep 12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5278

Baadhi ya washiriki wa  Mkutano  wa  wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao mjini Dodoma Sep 12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5281

PG4A5282

PG4A5283

 

9 years ago

Habarileo

CDA wabomoa nyumba 140 Dodoma

ZAIDI ya nyumba 140 mjini Dodoma zimebomolewa na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kutokana na wananchi kujenga kiholela katika maeneo yasiyoruhusiwa huku Jeshi la Polisi likilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliokuwa wakileta fujo ikiwemo kufunga barabara kuu ya Dodoma – Singida.

 

10 years ago

Daily News

Dodoma meeting to deliberate CDA challenges


Daily News
Dodoma meeting to deliberate CDA challenges
Daily News
PRIME Minister, Mizengo Pinda is expected to chair a meeting to discuss challenges facing the Capital Development Authority (CDA) and residents, following a directive from President Jakaya Kikwete. The meeting is also expected to be attended by Dodoma ...

 

11 years ago

Habarileo

CDA wavunja vibanda vya biashara

MAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imebomoa vibanda vya biashara vilivyojengwa kando ya barabara katika maeneo ya Nkuhungu, Manispaa ya Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani