Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda akutana na wadau wa CDA Dodoma

PG4A5275

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) mjini Dodoma Sep 12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5278

Baadhi ya washiriki wa  Mkutano  wa  wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao mjini Dodoma Sep 12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5281

PG4A5282

PG4A5283

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA WADAU WA CDA MJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) mjini Dodoma Sep12,2014. Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, MIzengo Pinda wakati alipozungumza nao mjini Dodoma Sep12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF MJINI DODOMA

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda (Kushoto) akizindua huduma mpya itolewayo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ya Fao la Uzazi, mwanzoni mwa mkutano mkuu wa wadau na wanachama wa Mfuko huo mjini Dodoma jana. Wanaoshuhudia kutoka kulia, ni naibu waziri wa fedha, Adam Malima, Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko huo, GHeorge Yambesi, Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu, na mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa.Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano mkuu wa Nne wa Wadau na Wanachama wa...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda kuongoza kikao CDA kutekeleza maagizo ya Rais

VIONGOZI na watendaji mkoani Dodoma wanatarajiwa kufanya kikao kitakachoongozwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa malalamiko kati ya Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) na wananchi.

 

9 years ago

Habarileo

CDA wabomoa nyumba 140 Dodoma

ZAIDI ya nyumba 140 mjini Dodoma zimebomolewa na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kutokana na wananchi kujenga kiholela katika maeneo yasiyoruhusiwa huku Jeshi la Polisi likilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliokuwa wakileta fujo ikiwemo kufunga barabara kuu ya Dodoma – Singida.

 

10 years ago

Daily News

Dodoma meeting to deliberate CDA challenges


Daily News
Dodoma meeting to deliberate CDA challenges
Daily News
PRIME Minister, Mizengo Pinda is expected to chair a meeting to discuss challenges facing the Capital Development Authority (CDA) and residents, following a directive from President Jakaya Kikwete. The meeting is also expected to be attended by Dodoma ...

 

11 years ago

GPL

CDA YABOMOA NYUMBA ZAIDI YA 65 MLIMWA KUSINI DODOMA‏, WANANCHI WAHAHA

 Tingatinga la Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu [CDA], likibomoa moja ya nyumba zilizopo katika hifadhi ya Barabara inayotarajiwa kuanza…

 

11 years ago

Michuzi

CDA yatembeza nyundozz kwa nyumba zaidi ya 65 Mlimwa kusini manispaa ya Dodoma

 Tingatinga la Mamraka ya ustawishaji makao makuu [CDA] likibomoa moja ya nyumba zilizopo katika hifadhi ya Barabara inayotarajiwa kuanza kujengwa havi karibuni, ambapo zaidi ya nyumba 65 zilibomolewa katika eneo hilo la mlamwa kusini.
 Wanawake wa mtaa wa Mlimwa wakimsaidia Mwenzao aliyezirai baada ya Tingatinga la CDA kufika kwa ajili ya kubomoa nyumba yake kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Barabara, zoezi hilo lilifanyika Jana ambapo nyumba zaidi ya 65 zilibomolewa na kuacha familia...

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA WA POLISI DODOMA AKUTANA NA KUONGEA NA VIONGOZI MBALIMBALI WA TARAFA YA DODOMA MJINI

Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema jukumu la kwanza la serikali za mitaa ni kuwahakikishia wananchi wake usalama, amani, utulivu na utengamano hivyo ni jukumu la watendaji wa kata, mwenyekiti wa Mitaa na vitongoji kusaidia kuimarisha ulinzi katika maeneo yetu.
Amesema hayo alipokutana na Viongozi wa mbalimbali wa Tarafa ya Dodoma mjini katika Ukumbi wa Polisi Dodoma...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA DODOMA, MKURUGENZI HALMASHAURI YA TEMEKE JIJINI DODOMA



Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akutana na kuzungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge ofisini kwake Jijini Dodoma.Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge ofisini kwake Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Ndg. Matuka KessySpika wa Bunge, Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani