CDA wabomoa nyumba 140 Dodoma
ZAIDI ya nyumba 140 mjini Dodoma zimebomolewa na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kutokana na wananchi kujenga kiholela katika maeneo yasiyoruhusiwa huku Jeshi la Polisi likilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliokuwa wakileta fujo ikiwemo kufunga barabara kuu ya Dodoma – Singida.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TfqvZcjRHog/U2XcrjtOtEI/AAAAAAAArN8/iutEsxa1Tmg/s72-c/2.jpg)
CDA yatembeza nyundozz kwa nyumba zaidi ya 65 Mlimwa kusini manispaa ya Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-TfqvZcjRHog/U2XcrjtOtEI/AAAAAAAArN8/iutEsxa1Tmg/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q0iG33hQDk8/U2XctSNSg_I/AAAAAAAArOU/CeB958AfFxU/s1600/5.jpg)
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-BuYx2dqA3so/U2XcrX4mI1I/AAAAAAAArOA/0z47RLfF9eQ/s1600/1.jpg)
CDA YABOMOA NYUMBA ZAIDI YA 65 MLIMWA KUSINI DODOMA, WANANCHI WAHAHA
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Pinda akutana na wadau wa CDA Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) mjini Dodoma Sep 12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao mjini Dodoma Sep 12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Daily News10 Sep
Dodoma meeting to deliberate CDA challenges
Daily News
Daily News
PRIME Minister, Mizengo Pinda is expected to chair a meeting to discuss challenges facing the Capital Development Authority (CDA) and residents, following a directive from President Jakaya Kikwete. The meeting is also expected to be attended by Dodoma ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LKVmCCwbank/VBNgVFCDV5I/AAAAAAAGjWs/aASAkyx5_U4/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WADAU WA CDA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-LKVmCCwbank/VBNgVFCDV5I/AAAAAAAGjWs/aASAkyx5_U4/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LHbAnDLpQNU/VBNgVDQIS7I/AAAAAAAGjW4/ypmMNfG-RAA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T5WadL1qFHo/VBNgVVF1mmI/AAAAAAAGjWw/bV04fO2KbyY/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AMMV7b4zWQM/UvyKszgDscI/AAAAAAAFMwM/-D0rJf9WnKA/s72-c/d1.jpg)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA DAVID MISIME - SACP AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WAMILIKI WA HOTELI NA NYUMBA ZA KULALA WAGENI MKOANI DODOMA
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Uteuzi mume, mke wabomoa chama
10 years ago
Habarileo31 Dec
Wabomoa mlango kwa ‘fatuma’, wateka albino
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu wanne, akiwemo baba mzazi, Emmanuel Shirinde (28) wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel ambaye aliporwa na watu wasiojulikana waliovamia nyumbani kwao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OmQRHPouHls/XoRryV_uQgI/AAAAAAALlwg/s72v30_8TogQ0Dcpjd4RFoT0hOlw91vDgCLcBGAsYHQ/s72-c/6cf3bcb9-0aeb-425d-8d11-242191b4a7ea.jpg)
JAFO AKERWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA NYUMBA YA DC DODOMA
Charles James, Globu ya Jamii
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo ameelezwa kutoridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi na kuagiza kuongezwa kwa nguvu kazi.
Jafo ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya ukaguzi wa nyumba hiyo ambayo inajengwa na Suma JKT na kuwaagiza kuongeza nguvu ili Mkuu huyo wa wilaya aweze kuhamia katika muda uliopangwa.
" Nikiangalia idadi ya mafundi hapa na tarehe ambayo mmesema ujenzi utakamilika Mei 7...