Pinda kuongoza kikao CDA kutekeleza maagizo ya Rais
VIONGOZI na watendaji mkoani Dodoma wanatarajiwa kufanya kikao kitakachoongozwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa malalamiko kati ya Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) na wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Feb
Rais Kikwete kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/jakaya.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6S1hQAYAp6I/VNM22xaG-jI/AAAAAAAHB5I/_faMkpyIApY/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Rais Kikwete kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-6S1hQAYAp6I/VNM22xaG-jI/AAAAAAAHB5I/_faMkpyIApY/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Mkurugenzi KEC atakiwa kutekeleza maagizo
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimemtaka Mkurugenzi wa Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Dk. Cprian Mpemba kutekeleza maazimio yaliyotolewa katika kikao chao Aprili 30, mwaka huu, mjini Dodoma kuhusu shirika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ye3QQvUdI6M/VZ0PZHSaZBI/AAAAAAAAgs8/1-ZFzoW1hpo/s72-c/10.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI DODOMA MCHANA HUU TAYARI KWA KUONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA MAADILI NA USALAMA YA CHAMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ye3QQvUdI6M/VZ0PZHSaZBI/AAAAAAAAgs8/1-ZFzoW1hpo/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vDYo6VtzBzY/VZ0PYrfpMUI/AAAAAAAAgs0/Apa4RZimV5U/s640/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fOZWDaiWAck/VZ0PZ4PehFI/AAAAAAAAgtI/FDc7HaHD7o4/s640/12.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Pinda akutana na wadau wa CDA Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) mjini Dodoma Sep 12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao mjini Dodoma Sep 12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LKVmCCwbank/VBNgVFCDV5I/AAAAAAAGjWs/aASAkyx5_U4/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WADAU WA CDA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-LKVmCCwbank/VBNgVFCDV5I/AAAAAAAGjWs/aASAkyx5_U4/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LHbAnDLpQNU/VBNgVDQIS7I/AAAAAAAGjW4/ypmMNfG-RAA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T5WadL1qFHo/VBNgVVF1mmI/AAAAAAAGjWw/bV04fO2KbyY/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
JK awasili mjini Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM
Rais Jakaya Kikwete akialimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM August 19, 2014. Kushoto ni Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Adam Kimbisa. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu).
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma August 19, 2014. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Dr. Ali Mohamed Shein, Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,...
9 years ago
StarTV02 Dec
 Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhiwa Ofisi,  Pinda amtaka kuimarisha ufuatiliaji maagizo
Waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda amekabidhi ofisi kwa Waziri Mkuu Majaliwa Kasim Majaliwa.
Mheshimiwa Pinda amemtaka Waziri Mkuu Majaliwa kuimarisha ufuatiliaji wa maelekezo anayoyatoa kwenda ngazi za chini.
Akizungumza wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam, Pinda amesema katika kipindi cha uongozi wake kulikuwa na ucheleweshaji wa kupata majibu kutoka ngazi ya chini katika maelekezo aliyokuwa akitoa.
Amemtaka...