VIST yaja na mkakati kuzalisha maofisa tabibu mahiri
![](https://1.bp.blogspot.com/-JfRts1vl810/Xun2XW8f7HI/AAAAAAALuOA/08i3kwqhjK0Y6nbE81qxco-zQ3Wu59eTgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.52.57%2BPM.jpeg)
Na Mwandishi Wetu
TAASISI ya Sayansi na Technolojia (VIST) imeahidi kuwanoa maofisa tabibu wenye weledi ili kuongeza nguvu jitihada za serikali za kuwekeza kwenye sekta ya afya.
Kimesema serikali ya awamu ya tano imewekeza kwa kiwango kikubwa kwenye sekta ya afya hivyo wadau binafsi wanawajibika nao kuweka nguvu zao ili kuongeza wataalamu wengi kwenye sekta ya afya.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Naidu Katuri wakati akizungumzia uzinduzi wa chuo hicho kilichopo Mbezi Beach...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Bodi Mipango Miji yaja na mkakati uboreshaji
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tKuVpFfdkg4/VW3DiOoyNUI/AAAAAAAAB3Y/1guwBC9MUSk/s72-c/tabibu%2Bartwork.png)
10 years ago
Michuzi30 Oct
11 years ago
Habarileo04 Jul
JWTZ mahiri duniani
MAJESHI Maalumu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yanayolinda amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ni miongoni mwa vikosi bora 35 vya majeshi ya nchi mbali duniani, vinavyokubaliwa kuwa na ufanisi wa hali ya juu, uwezo mkubwa wa kupigana na vilivyofundishwa vizuri.
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Ebola:Wanasoka mahiri kusaidia WHO
10 years ago
Habarileo10 Jul
Walimu sasa wapata msimamizi mahiri
BUNGE jana lilipitisha Muswada wa Sheria ya Tume ya Walimu, ambayo pamoja na mambo mengine itakuwa na kazi ya kusimamia utumishi wa walimu.
9 years ago
Michuzi20 Oct
TUZO ZA UANDISHI MAHIRI 2015 ZAJA
![Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/EBRBcfZiUoNrOjZZH4l2_HFD2IneZeJyykfH9_SNemWYBGZ3aQeiT2Zf1sD7umXID1NSvMu6CjpjB8vvodCvPO4JnkA2b7D90CMIEG5R7MZY40tIR72vnn9Gc1aNIz2-=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Kajubi-620x308.jpg)
KAMATI za maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) iliyopo chini ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imezindua rasmi tuzo hizo ambazo zimeongezewa makundi mawili ya kushindania.Akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema makundi mapya ya kushindaniwa katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnVXMCcJ55d-YLLhHu3Zt3-77Un*gnNsvmVq1If0DqrNqXcgrHaFo5UmGSYRJdppPcl3l89Vih*T46A4sR8HOHfk/DSC_06971.jpg?width=650)
AIRTEL YASHIRIKIANA NA MBUNIFU MAHIRI AFRIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EzW97n0q1C2VVwqM4pYBeOABRM*IcjkRe05fwaiNR80KJjrGoivjhz2uH1kGkIqvY3K1LmhQs18Vtqhl0h7X8zhLo71ldyzP/GPL_Logo_FinalWEWB.gif?width=400)
WAANDISHI MAHIRI WA HABARI WANAHITAJIKA HARAKA