JWTZ mahiri duniani
MAJESHI Maalumu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yanayolinda amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ni miongoni mwa vikosi bora 35 vya majeshi ya nchi mbali duniani, vinavyokubaliwa kuwa na ufanisi wa hali ya juu, uwezo mkubwa wa kupigana na vilivyofundishwa vizuri.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
JWTZ yatambulika duniani kwa umahiri
Majeshi Maalum (Special Forces) ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania yanayolinda amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ni miongoni mwa vikosi bora 35 vya majeshi ya nchi mbali duniani vinavyokubali kuwa na ufanisi wa hali ya juu, uwezo mkubwa wa kupigana na vilivyofundishwa vizuri.
Kwa mujibu wa Mtandao wa Imgur Via Distractify, Tanzania na jeshi lake ni nchi pekee ya Afrika kuweza kuwa na majeshi yake miongoni mwa majeshi bora duniani.
Chini ya kichwa cha habari “35 Most...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Ebola:Wanasoka mahiri kusaidia WHO
10 years ago
Habarileo20 Aug
‘Jaji Makame alikuwa mwanasheria mahiri’
JAJI Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani, amesema Taifa limempoteza Jaji mahiri katika tasnia ya Sheria nchini, ambaye alisifika kwa mambo mengi, ikiwemo kuandika kwa ufasaha hukumu zake, kutokana na umahiri wake wa lugha ya Kiingereza.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnVXMCcJ55d-YLLhHu3Zt3-77Un*gnNsvmVq1If0DqrNqXcgrHaFo5UmGSYRJdppPcl3l89Vih*T46A4sR8HOHfk/DSC_06971.jpg?width=650)
AIRTEL YASHIRIKIANA NA MBUNIFU MAHIRI AFRIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EzW97n0q1C2VVwqM4pYBeOABRM*IcjkRe05fwaiNR80KJjrGoivjhz2uH1kGkIqvY3K1LmhQs18Vtqhl0h7X8zhLo71ldyzP/GPL_Logo_FinalWEWB.gif?width=400)
WAANDISHI MAHIRI WA HABARI WANAHITAJIKA HARAKA
9 years ago
Michuzi20 Oct
TUZO ZA UANDISHI MAHIRI 2015 ZAJA
![Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/EBRBcfZiUoNrOjZZH4l2_HFD2IneZeJyykfH9_SNemWYBGZ3aQeiT2Zf1sD7umXID1NSvMu6CjpjB8vvodCvPO4JnkA2b7D90CMIEG5R7MZY40tIR72vnn9Gc1aNIz2-=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Kajubi-620x308.jpg)
KAMATI za maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) iliyopo chini ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imezindua rasmi tuzo hizo ambazo zimeongezewa makundi mawili ya kushindania.Akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema makundi mapya ya kushindaniwa katika...
10 years ago
Habarileo10 Jul
Walimu sasa wapata msimamizi mahiri
BUNGE jana lilipitisha Muswada wa Sheria ya Tume ya Walimu, ambayo pamoja na mambo mengine itakuwa na kazi ya kusimamia utumishi wa walimu.
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Mwananchi yapongezwa tena kwa uandishi mahiri
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Kikwembe: Mbunge mahiri anayekumbatia taaluma yake