Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwembe: Mbunge mahiri anayekumbatia taaluma yake

Miongoni mwa wabunge yumo Dk Pudenciana Kikwembe Viti Maalumu (CCM). Hili si jina geni masikioni mwa wengi kutokana na michango na uwezo wake wa kujenga hoja bungeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mbunge amkaba msimamizi kudai hati yake

Ili kupata hati ya ushindi Mbunge Mteule wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara Marwa Ryoba (Chadema)alilazimika kumkaba Msimamizi wa Uchaguzi jimbo hilo,baada ya kutomkabidhi hati yake ya ushindi.

 

10 years ago

GPL

TANZIA: MBUNGE WA KINONDONI AFIWA NA KAKA YAKE

Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Mohamed Azzan . Mbunge wa Kinondoni, Mheshimiwa Idd Mohamed Azzan anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake, Azzan Mohamed kilichotokea usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Kinondoni (Kwa Dr. Mvungi). Msiba upo Magomeni Makuti, Mtaa wa Somanga na mazishi yatafanyika leo saa saba mchana katika makaburi ya Kisutu. Inna Lillahi wa inna illah… ...

 

9 years ago

Michuzi

MBUNGE WA MLALO ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANAMLALO

 Katika utekelezaji wa ahadi zake Mbunge wa jimbo la Mlalo Rashid Shangazi amekabidhi mabati 40 ya geji 28 kwa wanajimbo la Mlalo  kwaajili ya  kwa ajili ya jengo la Maabara shule ya Sekondari Mtae pamoja na Mifuko 10 ya sementi kwaajili ya kwa ajili ya ukarabati msikiti mkuu wa makose. Alikabidhi vitu hivyo mwishoni mwa wiki mkoani Tanga.Wana Mlalo wakishusha Mifuko ya Sementi 10  kwa ajili ya ukarabati msikiti mkuu wa makose, kutoka kwenye gari pamoja na Mabati 40 kwa shule ya Mtae wishoni...

 

11 years ago

Michuzi

GODFREY MGIMWA AKABIDHIWA HATI YAKE YA KUWA MBUNGE

 mshindi wa jimbo la kalenga Godfrey Mgimwa akiwa na mke wake Robby Mgimwa wakifurahia hati aliyokabidhiwa ya kuwa mbunge.  Godfrey Mgimwa akiwa anafurahia ushindi katikati Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Iringa vijiji mama Mtavilalo.

 

10 years ago

Michuzi

Katibu wa Mbunge awashukuru walioshirikiana naye msiba wa mama yake

Katibu wa Mbunge wa Viti Maalum, Al Sheimar Kweigyir (Semeni Kingaru) mwenye shati la mikono mirefu, akiwa kwenye mazishi ya mama yake mzazi Bi Kibibi Haji Pembe, aliyezikwa Machi 3, kijiji cha Misugusugu, Kibaha, mkoani Pwani.
"Nashukuru Watanzania wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha msiba na mazishi ya mama yetu kwa kutufanyia mambo mengi yenye kuleta ushirikiano kwa jamii kwa rambimbari zilizoonyesha kuguswa na msiba huu. Familia haina cha kuwalipa, isipokuwa kwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Maamuzi ya Mbunge Professor Jay kwenye siku yake ya kuzaliwa Dec 29…

Ikiwa Dec 29 ni siku ya kuzaliwa kwa msanii na mbunge wa Mikumi,Mh Joseph Haule aka Professor Jay ameamua kuchukua maamuzi ya kufanya usafi kwenye ofisi aliyokabidhiwa leo huko jimboni Mikumi Morogoro. Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram mbunge huyo aliandika..’Asante sana Mungu leo nimetimiza miaka 40 tangu nimezaliwa …. I dedicate this birthday kwa […]

The post Maamuzi ya Mbunge Professor Jay kwenye siku yake ya kuzaliwa Dec 29… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii… (+Audio)

Tumezipata za Rais Magufuli kwenye ziara za ghafla, zikaja za Mawaziri wa Rais Magufuli nao kwenye ziara za aina hiyohiyo, taarifa ikufikie kwamba Wabunge nao hawako nyuma.. moto wao uko hivyohivyo. Mbunge wa Arumeru Mashariki, Mbunge Joshua Nassari nae kafanya ziara yake Hospitali ya Wilaya ya Meru alafu akatoka na haya >>> “Ni aibu unakuja Hospitali […]

The post Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii… (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii…(+Audio)

Kasi ya Rais Magufuli katika kupambana na matumizi holele ya fedha za Serikali imeendelea kushika kasi hata kwa baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, Hapa nakukutanisha na Mbunge wa  Arumeru Mashariki Joshua Nassari alipotembelea Hospitali ya Wilaya,na kuamua kufanya haya maamuzi. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii…(+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa jimbo la Chalinze, Mh. Ridhiwan Kikwete avunja ukimya, afafanua ‘figisufigisu’ dhidi yake!!

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza alipokuwa akifanyiwa mahojiano maalumu na gazeti la Mwananchi, mjini Dodoma hivi karibuni. Picha na Edwin Mjwahuzi

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete. Picha ya Maktaba.

Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.

Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani