Kikwembe: Mbunge mahiri anayekumbatia taaluma yake
Miongoni mwa wabunge yumo Dk Pudenciana Kikwembe Viti Maalumu (CCM). Hili si jina geni masikioni mwa wengi kutokana na michango na uwezo wake wa kujenga hoja bungeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Mbunge amkaba msimamizi kudai hati yake
10 years ago
GPLTANZIA: MBUNGE WA KINONDONI AFIWA NA KAKA YAKE
9 years ago
MichuziMBUNGE WA MLALO ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANAMLALO
11 years ago
MichuziGODFREY MGIMWA AKABIDHIWA HATI YAKE YA KUWA MBUNGE
10 years ago
MichuziKatibu wa Mbunge awashukuru walioshirikiana naye msiba wa mama yake
"Nashukuru Watanzania wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha msiba na mazishi ya mama yetu kwa kutufanyia mambo mengi yenye kuleta ushirikiano kwa jamii kwa rambimbari zilizoonyesha kuguswa na msiba huu. Familia haina cha kuwalipa, isipokuwa kwa...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Maamuzi ya Mbunge Professor Jay kwenye siku yake ya kuzaliwa Dec 29…
Ikiwa Dec 29 ni siku ya kuzaliwa kwa msanii na mbunge wa Mikumi,Mh Joseph Haule aka Professor Jay ameamua kuchukua maamuzi ya kufanya usafi kwenye ofisi aliyokabidhiwa leo huko jimboni Mikumi Morogoro. Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram mbunge huyo aliandika..’Asante sana Mungu leo nimetimiza miaka 40 tangu nimezaliwa …. I dedicate this birthday kwa […]
The post Maamuzi ya Mbunge Professor Jay kwenye siku yake ya kuzaliwa Dec 29… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii… (+Audio)
Tumezipata za Rais Magufuli kwenye ziara za ghafla, zikaja za Mawaziri wa Rais Magufuli nao kwenye ziara za aina hiyohiyo, taarifa ikufikie kwamba Wabunge nao hawako nyuma.. moto wao uko hivyohivyo. Mbunge wa Arumeru Mashariki, Mbunge Joshua Nassari nae kafanya ziara yake Hospitali ya Wilaya ya Meru alafu akatoka na haya >>> “Ni aibu unakuja Hospitali […]
The post Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii… (+Audio) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii…(+Audio)
Kasi ya Rais Magufuli katika kupambana na matumizi holele ya fedha za Serikali imeendelea kushika kasi hata kwa baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, Hapa nakukutanisha na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari alipotembelea Hospitali ya Wilaya,na kuamua kufanya haya maamuzi. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii…(+Audio) appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Mbunge wa jimbo la Chalinze, Mh. Ridhiwan Kikwete avunja ukimya, afafanua ‘figisufigisu’ dhidi yake!!
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete. Picha ya Maktaba.
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia...