Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZIA: MBUNGE WA KINONDONI AFIWA NA KAKA YAKE

Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Mohamed Azzan . Mbunge wa Kinondoni, Mheshimiwa Idd Mohamed Azzan anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake, Azzan Mohamed kilichotokea usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Kinondoni (Kwa Dr. Mvungi). Msiba upo Magomeni Makuti, Mtaa wa Somanga na mazishi yatafanyika leo saa saba mchana katika makaburi ya Kisutu. Inna Lillahi wa inna illah… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBUNGE WA KINONDONI AFIWA NA KAKA’KE, AZIKWA!

Mbunge wa Kinondoni (aliyesiamama kushoto), Idd Azzan akiwa nyumbani kwa marehemu. Waombolezaji wakiwa msibani nyumbani kwa marehemu.…

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: MAMA BISHANGA AFIWA NA KAKA YAKE MKUBWA CASIMU JAFFER MANJI "JALEJALE"

Tarehe 23/05/2015 asubuhi ya Tanzania nimefiwa na kaka yangu mkubwa Bw Casim Jaffer Manji (Jalejale) Kongowe kwa binti yetu Anna Kepha mtoto wa marehemu dada Mwl Cecilia Hatia, Napenda kutumia nafasi hii kumjulisha Abasi Manji na akina Manji wa DSM. Familia ya Jaffer Manji wa Bombey, wadogo zangu Dr Geofrey Hatia Nambira wa Namibia, Isaya Hatia wa Finland, na aunt Eva Mack Hatia wa Finland. Familia ya marehemu mzee Abdruhaman Bellim, familia ya mzee Abdala, mzee Jalabi, na shangazi Anna...

 

9 years ago

Bongo5

Tanzia: Bou Nako afiwa na baba yake mzazi

11939309_893375544110757_1924339186_n

Rapa wa kundi la Nako 2 Nako, Bou Nako amefiwa na baba yake mzazi aliyekuwa akisumbuliwa na homa ya mapafu.

11939309_893375544110757_1924339186_n

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Bou Nako alisema mazishi yatafanyika kesho nyumbani kwao Bukoba.

“Nipo katika wakati mgumu lakini namuomba Mungu anipe wepesi. Kusema ukweli baba aliumwa sana kama miezi mitatu hivi na nadhani ni mapafu yalikuwa yanamsumbua,” amesema.

“Sasa hivi hapa Dar es Salaam tupo katika maandalizi ya kwenda Bukoba kwaajili ya...

 

9 years ago

Bongo5

MB Dog afiwa na kaka yake aliyekuwa akiishi Zambia

mbdog

MB Dog amefiwa na kaka yake aliyekuwa akiishi nchini Zambia.

mbdog

Muimbaji huyo ambaye tayari yupo msibani mkoani Tanga, ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa wanapanga shughuli za mazishi.

“Huku sio kwema, tuna msiba brother yangu amefariki, alikuwa Zambia, msiba upo Tanga na sasa hivi tupo kwenye taratibu za mazishi,” ameiambia Bongo5.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video...

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: Mpiganaji Masoud Sanani afiwa na mama yake mzazi huko Pemba

Habari wadau, Naomba kuwajulisha kuwa mwanafamilia mwenzetu mkongwe katika uandishi wa habari za michezo, Masoud Sanani, amefiwa na mama yake mzazi huko kisiwani Pemba. Msiba ulitokea  hukohuko Pemba na maziko yamefanyika Jana asubuhi.
Kwa niaba ya TASWA tunampa pole na tupo naye pamoja katika kipindi hiki kigumu kwake. Kwa wanaotaka kumfariji binafsi Masoud Sanani kwa namna mbalimbali namba zake za simu ni 0712 020020 na 0772003377. Katibu Mkuu TASWA

 

11 years ago

GPL

MANYOTA WA GLOBAL AFIWA NA KAKA YAKE FIDELIS MANYOTA

Manyota akijadiliana jambo na mmoja wa ndugu zake.
Msanifu kurasa wa GPL, Bahati Haule, akiingia nyumbani kwa Manyota.…

 

9 years ago

Michuzi

TANZIA: Jaji Mkuu afiwa na Mwanawe


Mheshimiwa Mohamed Chande Othman,Jaji Mkuu wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mkubwa, Said Mohamed Chande Othman (24), kilichotokea katika hospitali ya Aga Khan jijini DAr es salaam tarehe 24 Agosti,2015.

Marehemu Said Othman alikuwa ni mfanyakazi katika Benki ya Taifa ya Biashara (NBC).


Mazishi yatafanyika siku ya Jumanne tarehe 25 Agosti,2015 saa kumi jioni huko Chumbageni, Tanga.


Inna lillahi wainna ilayhi raajiun.

 

11 years ago

GPL

MTITU AFIWA NA BABA YAKE

STAA wa filamu za kibongo William Mtitu amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake mzazi, Mzee John Mtitu aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na kusumbuliwa na uvimbe kichwani Akizungumza kwa masikitiko nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam, Mtitu alisema amesikitishwa na kifo cha baba yake lakini hana jinsi kwani Mungu amempenda zaidi na hiyo ni njia ya kila mmoja. Staa wa filamu za kibongo, William...

 

10 years ago

GPL

OBASANJO AFIWA NA DADA YAKE MDOGO

RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo. RAIS wa zamani wa Nigeria,   Chifu Olusegun Obasanjo, amefiwa na dada yake  mdogo aitwaye Adunni Oluniola Eweje-Obasanjo, aliyekuwa na umri wa miaka 76. Obasanjo alitangaza habari hizo nyumbani kwake Abeokuta  baada ya kurejea katika ziara kusini-magharibi mwa nchi hiyo alikokuwa ameanza ziara ya kukutana na wanawake katika warsha maalum. Wanawake hao kutoka katika jumuia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani