Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MB Dog afiwa na kaka yake aliyekuwa akiishi Zambia

mbdog

MB Dog amefiwa na kaka yake aliyekuwa akiishi nchini Zambia.

mbdog

Muimbaji huyo ambaye tayari yupo msibani mkoani Tanga, ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa wanapanga shughuli za mazishi.

“Huku sio kwema, tuna msiba brother yangu amefariki, alikuwa Zambia, msiba upo Tanga na sasa hivi tupo kwenye taratibu za mazishi,” ameiambia Bongo5.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TANZIA: MBUNGE WA KINONDONI AFIWA NA KAKA YAKE

Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Mohamed Azzan . Mbunge wa Kinondoni, Mheshimiwa Idd Mohamed Azzan anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake, Azzan Mohamed kilichotokea usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Kinondoni (Kwa Dr. Mvungi). Msiba upo Magomeni Makuti, Mtaa wa Somanga na mazishi yatafanyika leo saa saba mchana katika makaburi ya Kisutu. Inna Lillahi wa inna illah… ...

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: MAMA BISHANGA AFIWA NA KAKA YAKE MKUBWA CASIMU JAFFER MANJI "JALEJALE"

Tarehe 23/05/2015 asubuhi ya Tanzania nimefiwa na kaka yangu mkubwa Bw Casim Jaffer Manji (Jalejale) Kongowe kwa binti yetu Anna Kepha mtoto wa marehemu dada Mwl Cecilia Hatia, Napenda kutumia nafasi hii kumjulisha Abasi Manji na akina Manji wa DSM. Familia ya Jaffer Manji wa Bombey, wadogo zangu Dr Geofrey Hatia Nambira wa Namibia, Isaya Hatia wa Finland, na aunt Eva Mack Hatia wa Finland. Familia ya marehemu mzee Abdruhaman Bellim, familia ya mzee Abdala, mzee Jalabi, na shangazi Anna...

 

11 years ago

GPL

MANYOTA WA GLOBAL AFIWA NA KAKA YAKE FIDELIS MANYOTA

Manyota akijadiliana jambo na mmoja wa ndugu zake.
Msanifu kurasa wa GPL, Bahati Haule, akiingia nyumbani kwa Manyota.…

 

11 years ago

Michuzi

Maisha ya Bi Aziza wa kijiji cha Mijongweni aliyekuwa akiishi chooni

Mwendo ukaongezeka mwenyekiti wa kitongoji Bw Msuya mbele ,Bi Aziza nyuma. Dakika 45 zinakamilisha safari yetu na hatimaye tunafika nyumbani kwa Bi Aziza. Fuatilia habari picha hii na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii
BOFYA HAPA

 

10 years ago

CloudsFM

MWALIMU ALIYEKUWA AKIISHI NA KINYESI NDANI KWA MIAKA MIWILI, AKIMBIZWA MUHIMBILI.

Mwalimu wa shule ya Sekondari Kibasila, Gaudensia Albert aliyekuwa akihifadhi kinyesi ndani kwake kwa miaka miwili amepelekwa Hospitali ya Muhimbili baada ya daktari wa Hospitali ya Temeke kubaini ana matatizo ya akili.

Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule hiyo, Kyando amesema baada ya kugundulika kwa tukio hilo walimpeleka Hospitali ya Temeke kwa kuangalia afya yake ambapo daktari akasema ana tatizo la akili, wakamuhamishia Muhimbili.
Baada ya kufikishwa Muhimbili madaktari walimpatia dawa ambazo...

 

11 years ago

Dewji Blog

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne afariki Dunia

10325360_761911693831786_7288579013049174718_n

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba, tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.

R.I.P NASRA wewe mbele sisi nyuma tutakufuata, Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.

 

 

10 years ago

GPL

MBUNGE WA KINONDONI AFIWA NA KAKA’KE, AZIKWA!

Mbunge wa Kinondoni (aliyesiamama kushoto), Idd Azzan akiwa nyumbani kwa marehemu. Waombolezaji wakiwa msibani nyumbani kwa marehemu.…

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Sata ukiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia leo tayari kwa misa Maalum iliyoandaliwa kabla ya mazishi kufanyika hapo kesho.Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia tayari kushiriki Misa Maalum ya Kumwombea aliyekuwa Rais wa Zambia Mhe. Michael Chilufya Sata kabla ya maziko yake kufanyika hapo kesho.Aliyekuwa Rais wa Serikali ya Awamu wa Zambia Mhe. Lupia Banda...

 

11 years ago

GPL

MB DOG,FAMILIA YAKE, KABAAH!

Staa wa Bongo Fleva, Mbwana Mohamed ‘Mb Dog’. BAADA ya kupotea kwa muda, huku wengi wakishindwa kutambua anaishi wapi na nani, hatimaye picha za staa wa Bongo Fleva, Mbwana Mohamed ‘Mb Dog’ na familia yake zimenaswa! Kutokana na desturi ya staa huyo kukaa ‘mbali’ na kamera husan katika masuala yahusuyo familia, paparazi wetu alimuotea nyumbani kwake Kawe, jijini Dar na kumtandika picha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani