OBASANJO AFIWA NA DADA YAKE MDOGO
![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLN7HBTedkPraNFRLTBEv44WFA-GkC4QBV1sqkUasS4IXNGle4eqHGy8yKT9bX25rOwjzeCBGcztIy5BET4R6Fl/olusegun_obasanjo3.jpg?width=650)
RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo. RAIS wa zamani wa Nigeria,  Chifu Olusegun Obasanjo, amefiwa na dada yake mdogo aitwaye Adunni Oluniola Eweje-Obasanjo, aliyekuwa na umri wa miaka 76. Obasanjo alitangaza habari hizo nyumbani kwake Abeokuta baada ya kurejea katika ziara kusini-magharibi mwa nchi hiyo alikokuwa ameanza ziara ya kukutana na wanawake katika warsha maalum. Wanawake hao kutoka katika jumuia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--zWL21BJF28/VWNvxXUmzFI/AAAAAAABvzM/H4xQEE0JnW0/s72-c/7228.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR, DK.SHEIN AFIWA NA DADA YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/--zWL21BJF28/VWNvxXUmzFI/AAAAAAABvzM/H4xQEE0JnW0/s640/7228.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6-8Dtm3Co_8/VWNvwt3JaGI/AAAAAAABvzI/jOmZ26PUptI/s640/_7231.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u3kXusK5pDE/VV3fntDFSgI/AAAAAAAAMBc/ousGxBaJueU/s72-c/IMG-20150521-WA0124.jpg)
vanessa mdee afiwa na dada yake mkubwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-u3kXusK5pDE/VV3fntDFSgI/AAAAAAAAMBc/ousGxBaJueU/s400/IMG-20150521-WA0124.jpg)
Anna na Vanessa ni watoto wa marehemu Sammy Mdee, aliyekuwa mwandishi mkongwe aliyewahi kuongoza gazeti la Daily News, Katibu wa Mwalimu Nyerere na pia mkurugenzi wa kituo cha AICC. Mazishi ya Anna...
11 years ago
GPLJOHARI AFIWA NA BABA YAKE MDOGO
10 years ago
CloudsFM17 Mar
Jose Chameleone afiwa na Mdogo wake
![](http://api.ning.com/files/E-eiwesnIS33541LGV6jlvpdfTKTiaxPaZii7kVe*bm2Qc253JM-xPh8rwWybrZ8gQbfZHBEOJlPiKUynU*ksMfWfGJNaqi5/JIKAMILION.jpg)
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Jose Chameleone apata pigo afiwa na mdogo wake AK47
Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa dancehall, Emmanuel Mayanja (AK47) ambaye ni mdogo wa mwanamuziki Jose Chameleone, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya kudondoka vibaya akiwa bafuni.
Mayanja, ambaye ndiye mdogo pekee wa Chameleone aliyebaki katika lebo yake ya Leon Island Records, baada ya Weasel na Pallaso kujiengua, anaelezwa kufariki dunia katika mji wa Kabalagala, Kampala nchini Uganda,
Kifo chake kilithibitishwa na madaktari baada ya kufikishwa katika hospitali ya Nsambya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvuNAg-DOl6BlfFk2LD7K5DtVorvziMsaBVJ45kkKdpUDluaEb8cRR7pEkWylNaBgUaRAAmlEwVn9UQJMi3Z879F/image.aspx.jpg?width=650)
OBASANJO AVUTIA WENGI KWA KUJIPIGA PICHA KWENYE SIMU YAKE
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s72-c/m1.jpeg)
RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA DADA YAKE YAKE KIJIJINI CHATO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s1600/m1.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-n292POPsI1E/XsFAXpPoBlI/AAAAAAALqkI/MD_qJVX0vgQXDWPv5JGLVURcsbLrYzprQCLcBGAsYHQ/s1600/m2.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Huyu ndio mchezaji mkubwa aliyempoteza binamu yake katika shambulio la Paris na mwingine kunusurika kumpoteza dada yake
Kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Na Rabi Hume, wa Modewjiblog
Shambulio limelotokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi katika jiji la Paris, Ufaransa wakati mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Taifa ya Ufaransa na Ujerumani umeacha simanzi kwa kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Katika shambulio hilo ambalo linakadiliwa kuua watu zaidi 150 limepelekea Diarra kumpoteza binamu yake, Asta Diakote ambae alikuwa moja...