Jose Chameleone afiwa na Mdogo wake
![](http://api.ning.com/files/E-eiwesnIS33541LGV6jlvpdfTKTiaxPaZii7kVe*bm2Qc253JM-xPh8rwWybrZ8gQbfZHBEOJlPiKUynU*ksMfWfGJNaqi5/JIKAMILION.jpg)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Jose Chameleone apata pigo afiwa na mdogo wake AK47
Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa dancehall, Emmanuel Mayanja (AK47) ambaye ni mdogo wa mwanamuziki Jose Chameleone, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya kudondoka vibaya akiwa bafuni.
Mayanja, ambaye ndiye mdogo pekee wa Chameleone aliyebaki katika lebo yake ya Leon Island Records, baada ya Weasel na Pallaso kujiengua, anaelezwa kufariki dunia katika mji wa Kabalagala, Kampala nchini Uganda,
Kifo chake kilithibitishwa na madaktari baada ya kufikishwa katika hospitali ya Nsambya...
10 years ago
Bongo517 Mar
Mdogo wa Jose Chameleone, AK47 afariki dunia
9 years ago
Bongo524 Oct
Jose Chameleone: Nasaidia wasanii wachanga kwasababu nilipokuwa msanii mdogo nilinyimwa nafasi hiyo
9 years ago
Bongo530 Oct
Music: Barnaba aonjesha wimbo wake na Jose Chameleone ‘Nakutunza’ utakaotoka Nov.5
10 years ago
Bongo519 Nov
New Music: Jose Chameleone — Milliano
10 years ago
Bongo527 Nov
New Music Video: Jose Chameleone — Milliano
9 years ago
Bongo510 Nov
Music: Barnaba Ft. Jose Chameleone — Nakutunza
![artist_117bc98a7858d72001aa05a94602b4308f1.jpg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/artist_117bc98a7858d72001aa05a94602b4308f1.jpg-300x194.png)
Huu ni wimbo mpya kutoka msanii Barnaba wimbo unaitwa “Nakutunza” amemshirikisha Jose Chameleone kutoka Uganda, Wimbo umefanyika katika studio za Hightable Sound.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!