Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdogo wa Jose Chameleone, AK47 afariki dunia

Muimbaji wa dancehall, AK47 wa Uganda ambaye ni mdogo wa Jose Chameleone, Weasel na Pallaso amefariki dunia. Taarfifa zilizoripotiwa na mitandao ya Uganda zinaeleza kwamba Emmanuel Mayanja a.k.a AK47 alifariki usiku wa Jumatatu (March 16) baada ya kuteleza na kudondoka vibaya bafuni. Alithibitika kuwa amefariki akiwa hospitali ya Nsambya alipokimbizwa na marafiki. Chameleone na Weasel […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Jose Chameleone apata pigo afiwa na mdogo wake AK47

Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa dancehall, Emmanuel Mayanja (AK47) ambaye ni mdogo wa mwanamuziki Jose Chameleone, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya kudondoka vibaya akiwa bafuni.
Mayanja, ambaye ndiye mdogo pekee wa Chameleone aliyebaki katika lebo yake ya Leon Island Records, baada ya Weasel na Pallaso kujiengua, anaelezwa kufariki dunia katika mji wa Kabalagala, Kampala nchini Uganda,
Kifo chake kilithibitishwa na madaktari baada ya kufikishwa katika hospitali ya Nsambya...

 

10 years ago

GPL

KAKA WA CHAMELEONE AK47 AFARIKI DUNIA

Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47 enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI wa dancehall nchini Uganda, Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali baada ya kuanguka akiwa bafuni. Wimbo mpya wa marehemu AK47. Taarifa zimeeleza kuwa kabla ya mauti kumkuta, AK47 alikuwa katika baa moja ya usiku iliyopo eneo la Kabalagala pamoja na marafiki zake. Imeelezwa kuwa alidondoka akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

AY ATUMA SALAM ZA POLE KWA JOSE CHAMELEONE KWA KIFO CHA AK47

Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini Tanzania AY amemtumia Jose Chameleone kwa kifo cha kaka yake ambaye pia ni mwamnamuziki nchini Uganda.

Marehemu Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali baada ya kuanguka akiwa bafuni.

Taarifa zimeeleza kuwa kabla ya mauti kumkuta, AK47 alikuwa katika baa moja ya usiku iliyopo eneo la Kabalagala pamoja na marafiki zake.

Imeelezwa kuwa alidondoka akiwa bafuni wakati akiongea na simu na kukimbizwa katika...

 

10 years ago

CloudsFM

Jose Chameleone afiwa na Mdogo wake

Aliyekuwa Mdogo wake Jose Chameleone, AK47 afariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kudondoka chooni na kugonga kichwana kabla umauti haujamfika alipost picha kupitia mitandao ya kijamii na aliandika maneno ya nyimbo ya injili kwam lugha kiganda yakisema

 

9 years ago

Bongo5

Jose Chameleone: Nasaidia wasanii wachanga kwasababu nilipokuwa msanii mdogo nilinyimwa nafasi hiyo

Jose Chameleone ni mwanamuziki mkubwa wa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla, lakini ni miongoni mwa wanamuziki ambao hawana ugumu wa kusaidia wasanii mbalimbali hata wadogo pale linapokuja swala la kufanya collabo. Staa huyo kutoka Uganda ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania, wakiwemo wakubwa na wanaochipukia, kitu ambacho amesema anafanya kwa msanii yeyote atakaye […]

 

5 years ago

CCM Blog

TANZIA: MDOGO LOWASSA AFARIKI DUNIA


  Mdogo wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa anayefahamika kwa kwa jina la Bernard Lowassa, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es salaam.


Mtoto wa Waziri Mkuu huyo Mstaafu Fred Lowassa amethibitisha hayo
"Ni kweli ndugu yetu Bernard lowassa amefariki yeye ni Baba yangu mdogo, na alikuwa amelazwa Aga Khan na hapa familia tunaenda hospitalini kwa ajili ya kukutana."- Amesema

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Jose Chameleone — Milliano

Superstar wa Uganda, Jose Chameleone ameachia ngoma mpya ‘Milliano’. Isikilize hapa.

 

9 years ago

Bongo5

Jose Chameleone finally comes clean about Illuminati

Uganda Legendary Artiste, Joseph Mayanja popularly known by his stage name, Dr. Jose Chameleone has finally come out to address the issues surrounding the Illuminati allegements. The singer took to Facebook and shared a beautiful photo with her daughter and captioned it with a statement below; “Good morning my people!!!!! I am thankful to GOD […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani