OBASANJO AVUTIA WENGI KWA KUJIPIGA PICHA KWENYE SIMU YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvuNAg-DOl6BlfFk2LD7K5DtVorvziMsaBVJ45kkKdpUDluaEb8cRR7pEkWylNaBgUaRAAmlEwVn9UQJMi3Z879F/image.aspx.jpg?width=650)
Rais wa zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo akijipiga picha. RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, amekuwa akiwavutia wananchi wenzake kwa kujipiga picha akitumia simu yake ambayo inatumia mfumo wa ‘android’. Obasanjo amekuwa akimwagiwa sifa kibao kutokana na kwamba yeye ndiye aliyeruhusu kuingia kwa simu za mkononi wakati akiwa madarakani, jambo ambalo limerahisisha shughuli za watu wengi nchini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 May
Picha: Wolper Awakuna Wengi kwa ‘Style’ Hii ya Aina Yake
Staa wa Bongo Movies ambaye anasifika kwa urembo na kazi zake, Jacqueline Wolper hivi juzi kati kwenye ukurasa wake mtandaoni alibandika picha hizo hapo juu akiwa amevalia style ambayo iliwafanya mashabiki wengi bonyeze kitufe cha LIKE na kushusha comment nyingi huku kila mtu akielezea ni jinsi gani ameguswa na mtindo huo aliotupia.
Kwa maneno ya lugha yta malkia, Wolper aliandika “Fashion is just another accessory for someone with great style...” na kuweka picha hizo.
Japo wengi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-r8c85VMVthI/VOq6zEqkrsI/AAAAAAAAG5U/6exRrwF8f4g/s72-c/Maneno%2Bya%2BZari%2BHassan%2Bkwa%2Bpicha%2Binayo%2Bmuonyesha%2BDiamond%2Bakichungulia%2Banacho%2Bkifanya%2Bkwenye%2Bsimu.jpg)
Maneno ya Zari Hassan kwa picha inayo muonyesha Diamond Platnumz akichungulia anacho kifanya kwenye simu
![](http://3.bp.blogspot.com/-r8c85VMVthI/VOq6zEqkrsI/AAAAAAAAG5U/6exRrwF8f4g/s1600/Maneno%2Bya%2BZari%2BHassan%2Bkwa%2Bpicha%2Binayo%2Bmuonyesha%2BDiamond%2Bakichungulia%2Banacho%2Bkifanya%2Bkwenye%2Bsimu.jpg)
5 years ago
MichuziWENGI WENYE SIMU ZA GHARAMA MATUMIZI YAKE HAYAENDANI NA THAMANI- ISOC
Wadau wakiendelea kupata mafunzo kutoka kwa watoa mada wakati wa mafunzo hayo.
Katibu Mkuu wa Shirika la Internet Society Tanzania Chapter (ISOC) Pamela Chogo akijibu maswali ya wadau wa mtandao wakati wa mafunzo hayo.
Baadhi ya wadau wa masuala ya mtandao wakiwa kwenye semina ya mafunzo ya usalama kwa watumiaji wa intaneti yaliyoandaliwa na Shirika la Internet Society Tanzania Chapter(ISOC)leo Machi 14 mwaka 2020.Mafunzo hayo yamefanyika wilayani kigamboni jijini Dar es Salaam.
Wadau wa...
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Picha: Monalisa Amewakumbusha Wengi kwa Picha Hii
2003…..Ubatizo wa mtoto wangu wa kwanza Sonia kanisani hapo KKKT USharika wa Yombo Dovya pembeni nipo na baba mtoto aliyekuwa mume wangu ambae sasa ni marehemu George Tyson.
Hii nimependeza jamani msicheke basi.
Monalisa on instagram
10 years ago
Bongo525 Aug
Jaguar aweka wazi ukweli wa picha za ‘harusi’ yake zilizowashtua wengi
10 years ago
Bongo Movies16 Jul
Picha ya Mwaka 1997 ya Monalisa Akiwa Mama Yake ‘Natasha Mamvi’, Yawafurahisha Wengi
Picha ya kitambo ya Staa wa bongo Movies, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ akiwa na mama yake mzazi ambaye pia ni staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ aliyowekwa na Monalisa kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram imewafurahisha mashabiki wao wengi na kutupia komenti za kicheko na kuwasuifia kwa jinsi walivyotokelezea .
Monalisa alibandika picha hiyo hapo juu na kueleza kuwa hiyo ilikuwa ni mwaka 1997.
“Haya nyie si wajuaji wa kucheka?chekeni sasa hadi mchoke,itaneni weeeee...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Bongo wengi waoga kupiga picha kwenye zuria jekundu katika ‘Event’
Mama wa Mitindo Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Fabak fashions ya Mikocheni kwa Mwalimu Nyerer, Asia Idarous Khamsin akipita kwa madaha kwenye zuria jekundu.
Mama wa Mitindo, Asia Idarous anaeleza kuwa, desturi ya kupita kwenye zuria inampa muhusika kujiamini hasa akiwa kwenye muonekano wa aina yoyote ile. Hali hiyo imepelekea ‘event’ nyingi zinazofanyika hapa Nchini na nchi zingine kuwa na utaratibu maalum ikiwemo kupamba eneo la kuingilia ili wanaohudhulia tafrija ama tukio maalum kupita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLN7HBTedkPraNFRLTBEv44WFA-GkC4QBV1sqkUasS4IXNGle4eqHGy8yKT9bX25rOwjzeCBGcztIy5BET4R6Fl/olusegun_obasanjo3.jpg?width=650)
OBASANJO AFIWA NA DADA YAKE MDOGO