Picha: Wolper Awakuna Wengi kwa ‘Style’ Hii ya Aina Yake
Staa wa Bongo Movies ambaye anasifika kwa urembo na kazi zake, Jacqueline Wolper hivi juzi kati kwenye ukurasa wake mtandaoni alibandika picha hizo hapo juu akiwa amevalia style ambayo iliwafanya mashabiki wengi bonyeze kitufe cha LIKE na kushusha comment nyingi huku kila mtu akielezea ni jinsi gani ameguswa na mtindo huo aliotupia.
Kwa maneno ya lugha yta malkia, Wolper aliandika “Fashion is just another accessory for someone with great style...” na kuweka picha hizo.
Japo wengi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies24 Feb
PICHA: Joti Awakuna Wengi Kwa Mtoko Huu
Picha ya mwigizaji mkongwe wa vichekesho “KOMEDI” Lucas Mhuvile ‘Joti’ imewakuna watu wengi na kufanya kuwa ni moja kati ya picha zinazo” TREND” mtandaoni toka jana.
Japo kuwa Joti akiwa kama ‘Bi kiboga’ ametokelezea kiofisi zaidi, watu wengi wamejituka wakiangusha komenti nyingi wakielezea kuvunjika kwa mbavu zao kwa kicheko huku wengine wakisema mnuno wake ndio balaa na wengine wakisema skuna ndio sheedah ilimradi kila mmoja kafurahi kwa mtindo wake.
Kiukweli kabisa kijana huyu ni...
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
PICHA:Wolper Afunga Mwaka Kwa Kuachia Hizi Zilizowachanganya Wengi!!
Ikiwa zimebaki saa chache tu tuuage mwaka 2014 na tuupokee mwaka 2015, mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa namna yake, ameacha gumzo mtandaoni baada ya kutupia picha hizi na kuwatakia kheri ya mwaka mpya mashabiki wake.
Picha hizi ambao alizitupia moja moja tangu jana zimeleta gumzo kubwa miongoni mwamashabiki wale ‘kindakindaki’ wa mwanadada huyu, kwani wengi hasa vidume wameoneka kuchanganywa kabisa na picha hizi na wengi wao wamejikuta wakiachia "comment" za kumsifia hadi...
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Picha: Monalisa Amewakumbusha Wengi kwa Picha Hii
2003…..Ubatizo wa mtoto wangu wa kwanza Sonia kanisani hapo KKKT USharika wa Yombo Dovya pembeni nipo na baba mtoto aliyekuwa mume wangu ambae sasa ni marehemu George Tyson.
Hii nimependeza jamani msicheke basi.
Monalisa on instagram
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Picha: Wema na Wolper Washangaza Wengi Baada ya Kupombeka
Hii ilitokea hivi juzi kati kwenye ‘Bethidei Pati’ ya Petitman ambae ni mtu wa karibu wa mwanadada Wema Sepetu.
Inasemekana mara baada ya mastaa hao kuchapa ‘ulabu’ wakaanza kufanya yao (kama unavyoona kwenye picha hapo juu). Kitendo ambacho kiliwashangaza wengi waliohudhulia sherehe hiyo.
Je ni picha gani upeita kutoka kwenye pichi hizo?
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
GPL
OBASANJO AVUTIA WENGI KWA KUJIPIGA PICHA KWENYE SIMU YAKE
10 years ago
Dewji Blog28 Nov
Njoo tuage mwezi Novemba kwa staili ya aina yake na Skylight Band ikiwemo Red carpet treatment, Ijumaa hii Thai Village
Kutoka kushoto ni Dinga Mbepera, Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Bella Kombo wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki ambapo ratiba ya Skylight Band wiki hii tukifunga mwezi Novemba kwa mwaka 2014 ni kama ifutavyo.
IJUMAA 28.11.14: Kama kawaida tunaaga mwezi aina yake, skylight friday ndani ya Thai village masaki,special show ya mwisho wa mwezi kuwashukuru wadau wetu, Kutakua na Red carpet treatment, kutakua free shots of...
10 years ago
GPL
NJOO TUAGE MWEZI NOVEMBA KWA STAILI YA AINA YAKE NA SKYLIGHT BAND IKIWEMO RED CARPET TREATMENT, IJUMAA HII THAI VILLAGE
10 years ago
Bongo Movies09 Jan
Hapa na Pale:Wolper Amshukia “Bidada” Anaetumia Jina Lake Picha na Sauti Yake Kutapeli Watu
Dunia ya Utandawazi, watu wanavipaji jamani!!!!. Wolper amempasha huyu kama ifuatavyo;
“why why why unanichafulia jina we shuwainiiii mpumbavu mmoja maana kama unajua paka napokaa inamaana utakua ata insta uona kila kitu Mungu niokoe nilichokipanga kisifanikiwe nikakukamata mikononi mwangu nitafungwa kifungo cha maisha.. Alafu unaweka na picha yangu whatsup na sauti unageza yani sauti yangu kabisa muawaji mkubwa wewe fisi ,mende,peremende.Mungu akulaani wewe na kizazi chako tena kizazi...
11 years ago
Bongo525 Aug
Jaguar aweka wazi ukweli wa picha za ‘harusi’ yake zilizowashtua wengi