Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA: Joti Awakuna Wengi Kwa Mtoko Huu

Picha ya mwigizaji mkongwe wa vichekesho “KOMEDI” Lucas Mhuvile ‘Joti’  imewakuna watu wengi  na kufanya kuwa ni moja kati ya picha zinazo” TREND” mtandaoni toka jana. 

Japo kuwa Joti akiwa kama ‘Bi kiboga’ ametokelezea kiofisi zaidi, watu wengi wamejituka wakiangusha komenti nyingi wakielezea kuvunjika kwa mbavu zao kwa kicheko huku wengine wakisema mnuno wake ndio balaa na wengine wakisema skuna ndio sheedah ilimradi kila mmoja kafurahi kwa mtindo wake.

Kiukweli kabisa kijana huyu ni...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wolper Awakuna Wengi kwa ‘Style’ Hii ya Aina Yake

Staa wa Bongo Movies  ambaye anasifika kwa urembo na kazi zake, Jacqueline Wolper hivi juzi kati kwenye ukurasa wake  mtandaoni alibandika picha hizo hapo juu akiwa amevalia style ambayo iliwafanya mashabiki wengi bonyeze kitufe cha LIKE na kushusha comment nyingi huku kila mtu akielezea ni jinsi gani ameguswa na mtindo huo aliotupia.

Kwa maneno ya lugha yta malkia, Wolper aliandika “Fashion is just another accessory for someone with great style...” na kuweka picha hizo.

Japo wengi...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Utatu Huu Umewapendeza Wengi

Naweza sema kwa siku ya leo picha hii ndio iliyopata “comments” na “Likes” nyingi zaidi kuliko picha zote zawaigizaji zilitupiwa leo  mtandaoni. Nipicha inayowajumuisha mastaa watatu ambao ni waigizaji wa filamu maarufu hapa Bongo, amabao ni Kajala,Tausi na Wolper.

Mashakibi wengi wameonekana kivutiwa zaidi na picha hii kwani ndani ya muda mfupi picha hizi zilipata Likes zaidi ya elfu tano na comment zaidi ya mia tatu.

Wote kwapamoja, Kajala na Wolper waliziweke picha hizi kwenye kurasa za...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Monalisa Amewakumbusha Wengi kwa Picha Hii

2003…..Ubatizo wa mtoto wangu wa kwanza Sonia kanisani hapo KKKT USharika wa Yombo Dovya pembeni nipo na baba mtoto aliyekuwa mume wangu ambae sasa ni marehemu George Tyson.
Hii nimependeza jamani msicheke basi.


Monalisa on instagram
 

 

10 years ago

Bongo Movies

Fasheni:Mtoko Huu wa Lulu Wazua Mzozo!!!

Hakuna anebisha kuwa mrembo na mwigizaji wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ni moja kati ya mastaa wanaokwenda na fasheni na huwa hakosei kwenye hili, yaani huyu yupo “on point”.

Lakini linapokuja swala la maadili na utamaduni wetu hapa watu ndio huwa hutofautiana juu ya mavazi wanaoyovaa dada zetu siku hizi.

Picha za  mwanadada Lulu akiwa amevalia kivazi ambacho kwa kiasi kikubwa kimeacha miguu yake wazi zilisambaa kwa kasi sana mtandao hapo jana, hii ni kutokana na wengi kuzi LIKE...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Kuwa Wakwanza Kuziona Picha za Kwanza za Lulu Kwa Mwaka Huu

Mrembo na mwigizaji  wa filamu hapa Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametupia picha hizi mtandandaoni ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwa mwaka huu kwa mwanadada huyu kufanya  “Professional Photo Shoots” chini ya manifester brand.

Jionee hapo juu picha za mrembo huyu alizopigwa akiwa maendo ya gereji.

Wengi wamezipenda, wewe je?

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Mtoko wa Pasaka wa Irene Uwoya Huko Mwanza

Hizi ni baadhi ya picha ambazo staa mrembo Irene Uwoya ame-share nasi kupitia ukursa wake kwenye mtandao wa Instagram akiwa jijini Mwanza ambako amekwenda kikazi zaidi.

Huu ndio ulikuwa mtoko wake wa sikukuu ya PASAKA hapo jana. Mbali ya picha hizi kusababisha mafuriko ya LIKES na COMMENTS huko Instagram, Sio mbaya nawewe hapa kama mdau ukasafisha macho na picha hizi na kufunguka chochote kuhusu mtoko huu wa mrembo huyu ambae anatajwa kama ni mmoja kati waigizaji wa rembo zaidi hapa...

 

11 years ago

GPL

PICHA ZA HARUSI ZA LULU NA JOTI; Mhh!

Msanii wa Orijino Komedi Joti na msanii wa filamu Lulu, wakikumbatiana katika picha za harusi, huku MC Pilipili wa harusi hiyo akishuhudia kwa shauku. ......sasa unaweza kumbusu bibi harusi!…

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO


The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani