PICHA:Wolper Afunga Mwaka Kwa Kuachia Hizi Zilizowachanganya Wengi!!
Ikiwa zimebaki saa chache tu tuuage mwaka 2014 na tuupokee mwaka 2015, mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa namna yake, ameacha gumzo mtandaoni baada ya kutupia picha hizi na kuwatakia kheri ya mwaka mpya mashabiki wake.
Picha hizi ambao alizitupia moja moja tangu jana zimeleta gumzo kubwa miongoni mwamashabiki wale ‘kindakindaki’ wa mwanadada huyu, kwani wengi hasa vidume wameoneka kuchanganywa kabisa na picha hizi na wengi wao wamejikuta wakiachia "comment" za kumsifia hadi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 May
Picha: Wolper Awakuna Wengi kwa ‘Style’ Hii ya Aina Yake
Staa wa Bongo Movies ambaye anasifika kwa urembo na kazi zake, Jacqueline Wolper hivi juzi kati kwenye ukurasa wake mtandaoni alibandika picha hizo hapo juu akiwa amevalia style ambayo iliwafanya mashabiki wengi bonyeze kitufe cha LIKE na kushusha comment nyingi huku kila mtu akielezea ni jinsi gani ameguswa na mtindo huo aliotupia.
Kwa maneno ya lugha yta malkia, Wolper aliandika “Fashion is just another accessory for someone with great style...” na kuweka picha hizo.
Japo wengi...
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Picha: Mmh!! Hizi Tatu za Wolper Kiboko..
Hakuna anaebisha kuwa mwigizaji Jackline Massawe “Wolper”ni moja kati ya waigizaji warembo na wenye mvuto zaidi wa muonekano pengine sio kwa hapa bongo tu, bali hata Afrika nzima. Siku ya jana bila kuandika chochote alizibandika picha hizi mtandaoni hivyo kuwapa nafasi "followers" wake wafunguke kwa kile anachokiona kwenye picha hizi.
Kila mtu na jicho lake bwana!! Wapo walioona kitenge, miguu,macho,rangi, na nk ilimradi kila mtu alitililika....
Wewe je,umeona nini hapa?!!!
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Picha: Wema na Wolper Washangaza Wengi Baada ya Kupombeka
Hii ilitokea hivi juzi kati kwenye ‘Bethidei Pati’ ya Petitman ambae ni mtu wa karibu wa mwanadada Wema Sepetu.
Inasemekana mara baada ya mastaa hao kuchapa ‘ulabu’ wakaanza kufanya yao (kama unavyoona kwenye picha hapo juu). Kitendo ambacho kiliwashangaza wengi waliohudhulia sherehe hiyo.
Je ni picha gani upeita kutoka kwenye pichi hizo?
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Picha:Siku ya Leo Hizi za Kidoti Zimependwa na Wengi
Picha za mrembo anaefanya vitu vingi hapa mjini kuanzia mitindo, utangazaji,ujasiliamali hadi uimbaji wa muziki, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ alizozitupia leo kwenye ukurasa wake wa mtandaoni zimepokea’ LIKES’ na COMMENTS kutoka kwa wadau na mashabiki wa kike na wakiume huu kila mmoja akisema lake juu ya picha hizo.
Yote kwa yote Kidoti hapo ametokelezea ile sana, kwa upande wetu hizi za Kidoti ndio picha bomba zaidi kwa siku ya leo kati ya za mastaa wote wa Bongo Movies.
Tupia mtazamo wako...
10 years ago
Bongo Movies22 Mar
Picha: Safisha Macho na Hizi za Shishi Bybee Zilizopendwa na Wengi
Picha hizi za staa na mrembo kutoka Bongo Movies, Shilole ‘Shishi bybee’ alizozibandika leo kwenye ukursa wake mtandaoni zimewapagawisha wengi na kuzua mzozo huku wengine wakimmwagia sifa mwanamama huyu wa watoto wawili , kuwa anaonekana kama ni mdada wa miaka 20+ na wengine kuvuka mpaka na kusema mwacheni Mziwanda ambae ni mchumba wake aendelee kung’ang’ania hata kama anapewa kichapo mara kwa mara kwani Shishi bybee ni mtamuu zaidi ya mcharoo.
Kiukweli Shishi ametokelezea,jionee hapo...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Na hizi ndio picha 10 za mastaa Instagram zilizopata likes nyingi duniani mwaka 2015
Instagram ni mtandao wa kijamii ambao umepata watu wengi sana kwa mwaka 2015, ni mtandao ambao kila mtumiaji anao uhuru wa kupost picha na video fupi za sekunde kumi na tano…. hesabu na mimi TOP 10 ya picha zilizopata likes nyingi mwaka huu wa 2015. 10 Hiyo picha hapo juu kama unavyoiona tu ni ya Kendall Jenner […]
The post Na hizi ndio picha 10 za mastaa Instagram zilizopata likes nyingi duniani mwaka 2015 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Picha: Monalisa Amewakumbusha Wengi kwa Picha Hii
2003…..Ubatizo wa mtoto wangu wa kwanza Sonia kanisani hapo KKKT USharika wa Yombo Dovya pembeni nipo na baba mtoto aliyekuwa mume wangu ambae sasa ni marehemu George Tyson.
Hii nimependeza jamani msicheke basi.
Monalisa on instagram
10 years ago
Bongo Movies16 Jul
Picha ya Mwaka 1997 ya Monalisa Akiwa Mama Yake ‘Natasha Mamvi’, Yawafurahisha Wengi
Picha ya kitambo ya Staa wa bongo Movies, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ akiwa na mama yake mzazi ambaye pia ni staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ aliyowekwa na Monalisa kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram imewafurahisha mashabiki wao wengi na kutupia komenti za kicheko na kuwasuifia kwa jinsi walivyotokelezea .
Monalisa alibandika picha hiyo hapo juu na kueleza kuwa hiyo ilikuwa ni mwaka 1997.
“Haya nyie si wajuaji wa kucheka?chekeni sasa hadi mchoke,itaneni weeeee...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZ0MvMlY72WoREwIc563VzavC5UggkrxZeKHhOQYluYaN4taOS6znQVBAuEAj33wtvo*UbjDVQQNA8jscpII3dK/FRONTJUMATANO.jpg?width=650)
WEMA AFUNGA MWAKA KWA KILIO!