Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Mmh!! Hizi Tatu za Wolper Kiboko..

Hakuna anaebisha kuwa mwigizaji Jackline Massawe “Wolper”ni moja kati ya waigizaji warembo na wenye mvuto zaidi wa muonekano pengine sio kwa hapa bongo tu, bali hata Afrika nzima. Siku ya jana bila kuandika chochote alizibandika picha hizi mtandaoni hivyo kuwapa nafasi "followers" wake wafunguke kwa kile anachokiona kwenye picha hizi.

Kila mtu na jicho lake bwana!! Wapo walioona kitenge, miguu,macho,rangi, na nk ilimradi kila mtu alitililika....

Wewe je,umeona nini hapa?!!!

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Wolper Afunga Mwaka Kwa Kuachia Hizi Zilizowachanganya Wengi!!

Ikiwa zimebaki saa chache tu tuuage mwaka 2014 na tuupokee mwaka 2015, mrembo na  mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa  namna yake, ameacha gumzo mtandaoni baada ya kutupia picha hizi na kuwatakia kheri  ya mwaka mpya mashabiki wake.

Picha hizi ambao alizitupia moja moja tangu jana zimeleta gumzo kubwa miongoni mwamashabiki wale ‘kindakindaki’ wa mwanadada huyu, kwani wengi hasa vidume wameoneka kuchanganywa kabisa na picha hizi na wengi  wao wamejikuta wakiachia "comment" za kumsifia hadi...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!

Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti  huku wote sura zao zikiwa hazionekani.

Moja kati ya akaunti  kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la  WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.

Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINAZOSEMA AINA YA KIONGOZI TUNAYEMUHITAJI,PICHA HIZI ZINAZUNGUMZA MENGI SANA.

Mwigulu akisikiliza kwa makini maombi ya Bibi huyu(Hakufahamika jina) katika kijiji cha Kibaya Jimboni Iramba.Mh.Mwigulu Nchemba akimsikiliza kwa makini mmoja ya wazee katika kijiji cha Mtekente Jimboni Iramba.Mh:Mwigulu Nchemba akisikiliza kwa makini hitaji la kijana huyu mlemavu wa miguu kijiji cha Songa-Iramba.Mapenzi kwa Watoto.Mwigulu akimsikiliza Mwananchi wake Mwenye Ulemavu wa Miguu."NIsaidie Mbunge wangu,Baiskel imechoka"MBunge akimsikiliza Mwananchi wake.Mwananchi wa kijiji cha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Una Zungumziaje Picha Hizi za Wema na Aunty Ezekiel Wakiwa na Rafiki Yao Nice Chande

Boxing Day Moments: Baada ya hapo jana kuwa kwenye pilikapilika za siku kuu leo wengi wetu tumepumzika na kupiga stori za hapa na pale na jamaa zetu.Turudi kwenye mada.

Leo nilipoziona picha hizi za wadada hawa, Wema  Sepetu, Aunty Ezekiel na rafiki yao Nice Chande wakiwa wamejilaza kitandani namna hii kwa haraka haraka nikahisi huu utakuwa ni uchovu wa siku kukuu kwani wanaonekana kama wapo “Cool” sana.Ila nilipotulia kidogo nikaona kitu ambacho  ndicho kilichonifanya hizilete hapa picha...

 

10 years ago

Bongo5

Tecno Boom J7 ni simu kiboko kwa kuchukua picha kali zenye quality

Kama wewe ni mpenzi wa mitandao ya kijamii hususan Facebook na Instagram, bila shaka utapenda kupost picha zako zikiwa na ubora na zinazovutia. Bahati mbaya sio simu zote zenye uwezo wa kukupa picha kali. Tecno Boom J7 ni kiboko yao. Ni simu kali yenye kukupa picha za kuvutia lakini inayouzwa kwa bei nafuu kabisa. Kwa […]

 

9 years ago

MillardAyo

DC Paul Makonda kwenye hizi sentensi tatu

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda leo amekutana na viongozi wa masoko mbalimbali na kuzungumzia kero zinazokabili masoko hayo. “Nimeitisha kikao cha viongozi wa masoko, wamekuja wote na kujadili afya, vyoo vinayotumika ndani ya masoko, biashara katika ukusanyaji wa masoko, nimeelekeza Afisa bishara na viongozi wa Wilaya ni kuziangalia changamoto hizo ikiwemo kupima eneo […]

The post DC Paul Makonda kwenye hizi sentensi tatu appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Kwanini wasanii wetu siku hizi wanawatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania? — Jacqueline Wolper

wolper

Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kushare na followers wake wa Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha, kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania na kuwaacha wa hapa.

wolper

Hiki ndicho alichoandika Wolper;

“Jamani wapenzi wangu naombeni niwaulize ktu kimoja …kuna madada zetu wengi hapa Tanzania na wakaka wengi wazuri nawakivaa au kuvalishwa wanapendeza ila Tatizo uwezo tuu…lengo la haya maneno ni kuuliza na muwatag pia hawa wanaofanya...

 

9 years ago

MillardAyo

Rekodi nane kubwa kwa leo >> kiboko wauaji, tembo wa Africa, treni kali Africa na mengine.. (+Picha)

Nimekutana na ripoti kwenye channel ya ETV ya South Africa ambayo imegusa vitu mbalimbali… kati ya simba na mnyama kiboko, yupi anaongoza kwa kuua binadamu ??!! Jibu lake ninalo hapa pamoja na mengine mengi mtu wangu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, […]

The post Rekodi nane kubwa kwa leo >> kiboko wauaji, tembo wa Africa, treni kali Africa na mengine.. (+Picha) appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Wolper, Mr Blue na Nyandu Tozi, Kunani?!!

Kupitia ukurasa wake matandaoni, Staa wa Bongo Movies,  Jackqueline Wolper ameshare picha hizi akiwa na mastaa wa Bongo Fleva, Mr Blue na Nyandu Tozi na kusema kuwa wapo kazini.

Wolper hakuweza kuweka wazi kama ni Movies au Music Video....

Yote kwa yote picha hizi zimewavutia wengi mtandaoni na kupata mafuliko ya LIKES na COMMENTS za kutosha.

Jionee picha hizo hapo juu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani