Picha: Mmh!! Hizi Tatu za Wolper Kiboko..
Hakuna anaebisha kuwa mwigizaji Jackline Massawe “Wolper”ni moja kati ya waigizaji warembo na wenye mvuto zaidi wa muonekano pengine sio kwa hapa bongo tu, bali hata Afrika nzima. Siku ya jana bila kuandika chochote alizibandika picha hizi mtandaoni hivyo kuwapa nafasi "followers" wake wafunguke kwa kile anachokiona kwenye picha hizi.
Kila mtu na jicho lake bwana!! Wapo walioona kitenge, miguu,macho,rangi, na nk ilimradi kila mtu alitililika....
Wewe je,umeona nini hapa?!!!
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
PICHA:Wolper Afunga Mwaka Kwa Kuachia Hizi Zilizowachanganya Wengi!!
Ikiwa zimebaki saa chache tu tuuage mwaka 2014 na tuupokee mwaka 2015, mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa namna yake, ameacha gumzo mtandaoni baada ya kutupia picha hizi na kuwatakia kheri ya mwaka mpya mashabiki wake.
Picha hizi ambao alizitupia moja moja tangu jana zimeleta gumzo kubwa miongoni mwamashabiki wale ‘kindakindaki’ wa mwanadada huyu, kwani wengi hasa vidume wameoneka kuchanganywa kabisa na picha hizi na wengi wao wamejikuta wakiachia "comment" za kumsifia hadi...
10 years ago
Bongo Movies11 Feb
PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!
Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti huku wote sura zao zikiwa hazionekani.
Moja kati ya akaunti kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.
Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...
10 years ago
Vijimambo01 Oct
PICHA ZINAZOSEMA AINA YA KIONGOZI TUNAYEMUHITAJI,PICHA HIZI ZINAZUNGUMZA MENGI SANA.
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10426171_289961904539378_3950919716198159061_n.jpg?oh=881eaf04db744756c5d1baaeb81b20cf&oe=54CF422F&__gda__=1422876055_a731588f163ffa9be575db29a5cd682e)
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10370351_708920049161822_672977126855962506_n.jpg?oh=0164c1a19321226f66a5becc325bcada&oe=54D068E7&__gda__=1420972974_554da57f239a0d29f91e8f1bd94847ed)
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/1966847_708922799161547_3745377763552786263_n.jpg?oh=e4a260f98d743b6b462c04de459ed80d&oe=5484CA9A)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10421154_297784523757116_3841041684266685019_n.jpg?oh=e5f1aee5019e1cfdc1d1d2c19120a894&oe=54CEBB58&__gda__=1418246510_9917f2e3993fe3fc0c78b02dc168de21)
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/1525244_297187963816772_1840951361995500260_n.jpg?oh=eb4fdede0a4793ec34351912dabd0c46&oe=54C55FD3&__gda__=1421110766_92ea34b613e58b00530e648af275ec25)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10606408_297784037090498_2469290746865829578_n.jpg?oh=de7728875867bb0db94cfcc0f6f8f6d5&oe=54C9E13D&__gda__=1417987252_d8fde1c883d802f2b496bf8b5d84e495)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10635815_297187920483443_6799336518551112566_n.jpg?oh=4589901056a4b843e600c931c617337e&oe=5482FCCC&__gda__=1422835728_b003ee15bbde43f02f147e2780d3ddc6)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10670115_297188040483431_7030630794709207357_n.jpg?oh=be8ce1fefaefc9a08d649c3f6afb9226&oe=54C8B12E&__gda__=1417987826_7566075eb1215044645e3882e3ef1979)
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10420041_276267639242138_1706817427871385090_n.jpg?oh=36deb4a47bc4a059876b8f1f2b421ce5&oe=54CCA059)
![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10411278_253138758221693_8438807295919895765_n.jpg?oh=988c7a3889e13484cc4f1838529699f1&oe=54BFAC07)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10245541_241262216076014_3897404221853706429_n.jpg?oh=b6ba2bcb31c8047092891aa919a9329a&oe=54CF0BD1&__gda__=1417947241_7925d7e69bb582ed1282fbfcd85963a4)
10 years ago
Bongo Movies26 Dec
Picha: Una Zungumziaje Picha Hizi za Wema na Aunty Ezekiel Wakiwa na Rafiki Yao Nice Chande
Boxing Day Moments: Baada ya hapo jana kuwa kwenye pilikapilika za siku kuu leo wengi wetu tumepumzika na kupiga stori za hapa na pale na jamaa zetu.Turudi kwenye mada.
Leo nilipoziona picha hizi za wadada hawa, Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na rafiki yao Nice Chande wakiwa wamejilaza kitandani namna hii kwa haraka haraka nikahisi huu utakuwa ni uchovu wa siku kukuu kwani wanaonekana kama wapo “Cool” sana.Ila nilipotulia kidogo nikaona kitu ambacho ndicho kilichonifanya hizilete hapa picha...
10 years ago
Bongo527 May
Tecno Boom J7 ni simu kiboko kwa kuchukua picha kali zenye quality
9 years ago
MillardAyo15 Dec
DC Paul Makonda kwenye hizi sentensi tatu
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda leo amekutana na viongozi wa masoko mbalimbali na kuzungumzia kero zinazokabili masoko hayo. “Nimeitisha kikao cha viongozi wa masoko, wamekuja wote na kujadili afya, vyoo vinayotumika ndani ya masoko, biashara katika ukusanyaji wa masoko, nimeelekeza Afisa bishara na viongozi wa Wilaya ni kuziangalia changamoto hizo ikiwemo kupima eneo […]
The post DC Paul Makonda kwenye hizi sentensi tatu appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo510 Nov
Kwanini wasanii wetu siku hizi wanawatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania? — Jacqueline Wolper
![wolper](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/wolper-300x194.jpg)
Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kushare na followers wake wa Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha, kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania na kuwaacha wa hapa.
Hiki ndicho alichoandika Wolper;
“Jamani wapenzi wangu naombeni niwaulize ktu kimoja …kuna madada zetu wengi hapa Tanzania na wakaka wengi wazuri nawakivaa au kuvalishwa wanapendeza ila Tatizo uwezo tuu…lengo la haya maneno ni kuuliza na muwatag pia hawa wanaofanya...
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Rekodi nane kubwa kwa leo >> kiboko wauaji, tembo wa Africa, treni kali Africa na mengine.. (+Picha)
Nimekutana na ripoti kwenye channel ya ETV ya South Africa ambayo imegusa vitu mbalimbali… kati ya simba na mnyama kiboko, yupi anaongoza kwa kuua binadamu ??!! Jibu lake ninalo hapa pamoja na mengine mengi mtu wangu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, […]
The post Rekodi nane kubwa kwa leo >> kiboko wauaji, tembo wa Africa, treni kali Africa na mengine.. (+Picha) appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies16 May
PICHA: Wolper, Mr Blue na Nyandu Tozi, Kunani?!!
Kupitia ukurasa wake matandaoni, Staa wa Bongo Movies, Jackqueline Wolper ameshare picha hizi akiwa na mastaa wa Bongo Fleva, Mr Blue na Nyandu Tozi na kusema kuwa wapo kazini.
Wolper hakuweza kuweka wazi kama ni Movies au Music Video....
Yote kwa yote picha hizi zimewavutia wengi mtandaoni na kupata mafuliko ya LIKES na COMMENTS za kutosha.
Jionee picha hizo hapo juu.