Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tecno Boom J7 ni simu kiboko kwa kuchukua picha kali zenye quality

Kama wewe ni mpenzi wa mitandao ya kijamii hususan Facebook na Instagram, bila shaka utapenda kupost picha zako zikiwa na ubora na zinazovutia. Bahati mbaya sio simu zote zenye uwezo wa kukupa picha kali. Tecno Boom J7 ni kiboko yao. Ni simu kali yenye kukupa picha za kuvutia lakini inayouzwa kwa bei nafuu kabisa. Kwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Rekodi nane kubwa kwa leo >> kiboko wauaji, tembo wa Africa, treni kali Africa na mengine.. (+Picha)

Nimekutana na ripoti kwenye channel ya ETV ya South Africa ambayo imegusa vitu mbalimbali… kati ya simba na mnyama kiboko, yupi anaongoza kwa kuua binadamu ??!! Jibu lake ninalo hapa pamoja na mengine mengi mtu wangu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, […]

The post Rekodi nane kubwa kwa leo >> kiboko wauaji, tembo wa Africa, treni kali Africa na mengine.. (+Picha) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Tecno yaizindua simu mpya, ni Phantom 5

Tecno Mobile Tanzania imezindua simu yake mpya, Phantom 5. Meneja mauzo wa simu za Tecno, Fred Kadilana akiionesha simu ya Phantom 5 kwenye uzinduzi huo Uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Meneja mauzo wa simu za Tecno, Fred Kadilana alidai kwenye uzinduzi huo kuwa Phantom 5 ni simu ya kisasa […]

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA

  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana akionesha simu aina ya Phanton 5 wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu hizo uliofanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wadau mbalimbli wakiwa kwenye uzinduzi huo. Uzinduzi wa simu hiyo toleo jipya ukiendelea.

 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana  (kulia), akiwagawia zawadi ya simu hiyo baadhi ya waandishi waliouliza maswali mbalimbali. Wanahabari wakipokea zawadi ya simu hiyo ya kisasa toleo...

 

9 years ago

Bongo5

Tecno C8 sio simu, ni simu bora zaidi

Ikiwa inaendelea kuwajali wateja wake na kutambua umuhimu wa kuwapa kilicho bora zaidi, TECNO inakuletea simu mpya aina ya TECNO CAMON C8. TECNO C8 ni simu iliyotukuka ikiwa na programu mama ya Android 5.0 Lollipop, uwezo wa kuhifadhi vitu wa GB 16, kioo cha HD chenye inch 5.5, lakini haikuishia hapo. TECNO C8 ina flash […]

 

5 years ago

Michuzi

TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania

KAMPUNI ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuandika historia Tanzania kwa kuzindua simu yake mpya ya CAMON15 Aprili 15 mwaka huu kwa kutumia mitandao ya kijamii yaani ‘Online Launch’.Akizungumzia kuhusu uzinduzi huo katika ofisi za TECNO jiijini Dar es Salaam leo afisa masoko wa TECNO mtandaoni, Salma Shafi amesema hii ni fursa kwa kampuni hiyo kuwasiliana na wateja wake na Watanzania wote kwa ujumla kupitia teknolojia ya intanteti.
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...

 

9 years ago

Bongo5

Tecno Phantom 5 ni zaidi ya simu

Friday-2

Binafsi ni miongoni mwa wachache waliopata bahati ya kuitumia simu hii mpya kutoka TECNO iliyobatizwa jina la Phantom 5.

Friday-2

Maneno matupu hayavunji mfupa lakini chenye sifa yake kipeni. Kwa mwaka mzima wa 2015 nimeshuhudia matolea tofauti tofauti ya simu lakini nikajikuta nimedidimia kwenye dimbwi la raha baada ya kununua simu hii mpya.

Sijawahi kujutia tangu niikamate simu hii kwenye kiganja cha mkono wangu. Usishangae ndio ukweli wenyewe huo. Phantom 5 ina vitu vingi ambavyo vimekuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KWA PICHA ZENYE UBORA NI TEMBAPHOTO NDIYO HABARI YA MJINI


Ukiwa na shughuri yeyote inayohusu ukodak basi ni tembaphoto ndiyo suluhisho ya yote. Tembelea web site ya tembaphoto kujionea ubora wa picha.
http://tembaphoto.com/


 

9 years ago

Bongo5

Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 4

Tecno Mobile Tanzania wameingiza sokoni simu mpya iitwayo Phantom 5. Ifahamu zaidi kwa kutazama video hiyo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 5

Tecno Mobile Tanzania wameingia sokoni simu mpya, Tecno Phantom 5. Ifahamu zaidi kwa kutazama video hiyo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani