Tecno Phantom 5 ni zaidi ya simu
Binafsi ni miongoni mwa wachache waliopata bahati ya kuitumia simu hii mpya kutoka TECNO iliyobatizwa jina la Phantom 5.
Maneno matupu hayavunji mfupa lakini chenye sifa yake kipeni. Kwa mwaka mzima wa 2015 nimeshuhudia matolea tofauti tofauti ya simu lakini nikajikuta nimedidimia kwenye dimbwi la raha baada ya kununua simu hii mpya.
Sijawahi kujutia tangu niikamate simu hii kwenye kiganja cha mkono wangu. Usishangae ndio ukweli wenyewe huo. Phantom 5 ina vitu vingi ambavyo vimekuwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA
9 years ago
Bongo516 Oct
Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 5
9 years ago
Bongo512 Oct
Picha: Tecno yaizindua simu mpya, ni Phantom 5
9 years ago
Bongo516 Oct
Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 4
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5
Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]
The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...
9 years ago
Bongo528 Sep
Tecno C8 sio simu, ni simu bora zaidi
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/TECNO1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NqquuF5qeCpdm*JzYgwOf6NM7XnwD5MUBebGg8URL5qtUVzLawCDeQhux6GYWvLURaJJBRe0DTvbw2R1r8VX8iqqxBIo8sxV/10.jpg?width=750)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--LwqXdCXcsI/XsbN0rkAasI/AAAAAAAEHSg/VQfU39Q7BTAFPsjRbu_dsH6t_jfvW45pQCLcBGAsYHQ/s72-c/e410a583-9839-4a22-94e3-795f60f59157.jpg)
TECNO SPARK 5, SIMU YENYE KAMERA 5 KUZINDULIWA IJUMAA HII
Akizungumza kwa njia ya simu leo jijini Dar es Salaam, afisa masoko wa TECNO mtandaoni Bi. Salma Shafii amethibitisha kuwa ni kweli simu hiyo itazinduliwa Ijumaa kwa njia ya mtandao.
“TECNO SPARK 5 ni simu ambayo ina kamera 5 tunatarajia...