Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TECNO PHANTOM 5 INGIZO JIPYA SOKONI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tecno Phantom 5 ni zaidi ya simu

Friday-2

Binafsi ni miongoni mwa wachache waliopata bahati ya kuitumia simu hii mpya kutoka TECNO iliyobatizwa jina la Phantom 5.

Friday-2

Maneno matupu hayavunji mfupa lakini chenye sifa yake kipeni. Kwa mwaka mzima wa 2015 nimeshuhudia matolea tofauti tofauti ya simu lakini nikajikuta nimedidimia kwenye dimbwi la raha baada ya kununua simu hii mpya.

Sijawahi kujutia tangu niikamate simu hii kwenye kiganja cha mkono wangu. Usishangae ndio ukweli wenyewe huo. Phantom 5 ina vitu vingi ambavyo vimekuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 4

Tecno Mobile Tanzania wameingiza sokoni simu mpya iitwayo Phantom 5. Ifahamu zaidi kwa kutazama video hiyo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Tecno yaizindua simu mpya, ni Phantom 5

Tecno Mobile Tanzania imezindua simu yake mpya, Phantom 5. Meneja mauzo wa simu za Tecno, Fred Kadilana akiionesha simu ya Phantom 5 kwenye uzinduzi huo Uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Meneja mauzo wa simu za Tecno, Fred Kadilana alidai kwenye uzinduzi huo kuwa Phantom 5 ni simu ya kisasa […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 5

Tecno Mobile Tanzania wameingia sokoni simu mpya, Tecno Phantom 5. Ifahamu zaidi kwa kutazama video hiyo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Michuzi

Ingizo jipya katika kombe la dunia Brazil: alama ya chaki ya kupulizia inayoyeyuka....

Alama ya chaki ya kupulizia (spray) ni moja ya ingizo jipya kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Brazil. Tayari refa ameshaitumia mara ya kwanza kwenye mechi ya ufunguzi kati ya Brazil na Croatia usiku wa kuamkia leo, pale refa alipochora kwa kupulizia na kuweka alama wapi wachezaji wasimame wakati wa kupigwa mpira wa adhabu (pichani chini), ili kuthibiti zogo la wachezaji, ama wapi mpira uwekwe kabla ya kupigwa.  Chaki hiyo, ambayo huyeyuka baada ya dakika chache, ilianza kutumika...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA

  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana akionesha simu aina ya Phanton 5 wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu hizo uliofanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wadau mbalimbli wakiwa kwenye uzinduzi huo. Uzinduzi wa simu hiyo toleo jipya ukiendelea.

 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana  (kulia), akiwagawia zawadi ya simu hiyo baadhi ya waandishi waliouliza maswali mbalimbali. Wanahabari wakipokea zawadi ya simu hiyo ya kisasa toleo...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5

Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]

The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...

 

5 years ago

Michuzi

SASA TECNO SPARK 5 YENYE KAMERA 5 RASMI SOKONI

KAMPUNI ya simu za mkononi ya TECNO imetangaza rasmi kuzindua  simu yake mpya TECNO SPARK 5 yenye kamera tano ambapo uzinduzi huo umefanyika Jijini Dar es Salaam moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii zikiwemo kurasa za mitandao ya kijamii za TECNO.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo meneja mauzo wa TECNO, Mariam Mohamed alisema uzinduzi wa simu hiyo umekuja ukiwa umeambatana na kifurushi cha zawadi kwa wateja yaani (Gift Box) ambayo ni maalum kwaajili ya mteja yeyote anayenunua TECNO...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani